• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kitendawili cha miundombinu vijijini mpaka lini?

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Share on FacebookShare on Twitter

Na Mwandishi Wetu

Kuwa na miundombinu bora kunasaidia sana katika kurahisisha shughuli za kimaendeleo. Bila kuwa nayo, mazingira yanakuwa magumu katika harakati mbalimbali za kiuchumi. Serikali imekuwa ikiongeza jitihada zake kuhakikisha kuwa huduma mbalimbali zinaboreshwa hapa nchini hasa vijijini ili kuhakikisha kuwa wananchi wanaondokana na kero ambazo zinapelekea kuzorota kwa maendeleo katika jamii hizo.

ADVERTISEMENT

Mojawapo ya kero hizi ni ubovu wa barabara. Kuwepo kwa barabara ambazo hazina ubora na hivyo kufanya usafiri kuwa wa shida na gharama unarudisha nyuma maendeleo kwa kiasi kikubwa. Hakuna walimu wanaotaka kwenda kufundisha katika sehemu hizi hivyo jamii hizi hubaki bila elimu bora. Kwa upande wa wataalamu pia, shughuli mbalimbali za kiuchumi zinakwama kutokana na kero ya usafiri hivyo wataalamu hawa hubaki mijini tu wakiacha huduma hizi vijijini kuzidi kuwa mbaya.

Mawasiliano nayo ni sehemu kubwa ya maendeleo. Huduma za simu zilizopo mijini zinapelekea shughuli mbalimbali za biashara kufanyika. Lakini hali hii haipo katika vijiji ambavyo makampuni haya yameshindwa kuweka minara na kuwapatia wananchi hawa huduma ya mawasiliano. Jambo hili linapelekea wafanyabiashara vijijini kuwafikia watu wa karibu yao pekee. Lakini fikiria, kama wasingekuwa na changamoto ya mawasiliano wangehudumia watu wangapi zaidi? Huduma hizi zingewapatia wateja wangapi wapya? Huduma wanazotoa zingewafikia wangapi kwa urahisi zaidi?

Umeme nao ni changamoto kubwa vijijini. Ukosefu wa nishati hii unawarudisha nyuma waishiyo vijijini kwa kiasi kikubwa kwani bila umeme shughuli nyingi za kimaendeleo haziwezi kufanyika. Vijiji vingi kukosa nishati hii muhimu kunafukuza wawekezaji katika maeneo hayo, uwekezaji ambao ungeweza kuanzisha viwanda na hivyo kuzalisha ajira kwa wazawa hawa. Serikali imekuwa ikifanya michakato kuhakikisha kuwa hakuna sehemu itakayokuwa bila umeme hapa nchini hivyo hilo linawapa tumaini jipya wakazi hawa kuwa hivi karibuni nao hawataachwa nyuma.

Wakazi wengi wa vijijini hujihusisha na shughuli za kilimo lakini ni wachache sana wanaofanya kilimo ambacho kinawaletea manufaa. Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa masuala ya kilimo wanatakiwa kusaidia jamii hizi na kuwaelimisha juu ya mbinu bora zaidi ya kilimo ili wapate kuzalisha kwa tija na kunufaika na kile ambacho wanafanya. Kuwapelekea miundombinu bora ni njia mojawapo ya kuwasaidia wakulima katika shughuli zao.

Ni jukumu letu sote kuhakikisha kuwa tunachangia katika kuinua pato la taifa na kujikomboa na umasikini lakini lengo hilo haliwezi kufikiwa kama hakuna mifumo bora ambayo kwa namna moja ama nyingine itasaidia katika kurahisisha utekelezaji wa shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Hivyo miundombinu inapaswa kuboreshwa ili kuwapa wananchi nguvu zaidi katika kuipeleka nchi yetu kwenye mafanikio.

Tags: barabaramaendeleomiundombinunishatiPato la taifa
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Umaskini usiwe kigezo cha kukosa elimu

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In