• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mamlaka za maji zashauriwa kutumia TEHAMA

“Matumizi ya TEHAMA yatasaidia mamlaka zote kuongeza mapato yake hali itakayosaidia kuimarisha huduma zinazotolewa kwa wananchi kwa kutumia fedha zitakazokusanywa na dhamira yetu kama viongozi ni kuhakikisha kuwa wananchi wananufaika na huduma hii"

Patricia Richard by Patricia Richard
November 8, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa.

Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa ametoa wito kwa watendaji wakuu wa mamlaka za maji pamoja na wahandisi wa maji kuanza kutumia mifumo ya kisasa ya TEHAMA ili kuongeza ufanisi wa mamlaka hizo katika ukusanyaji wa mapato. Waziri Mbarawa ametoa ushauri huo wakati akifungua kikao cha siku mbili cha watendaji wakuu wa mamlaka za maji na wahandisi wa mikoa kinachofanyika jijini Dodoma, lengo likiwa ni kujenga uwezo kwa watendaji hao ili waweze kutekeleza kikamilifu azma ya serikali ya awamu ya tano ya kuhakikisha kila mwananchi anafikiwa na huduma ya majisafi.

 

“Matumizi ya TEHAMA yatasaidia mamlaka zote kuongeza mapato yake hali itakayosaidia kuimarisha huduma zinazotolewa kwa wananchi kwa kutumia fedha zitakazokusanywa na dhamira yetu kama viongozi ni kuhakikisha kuwa wananchi wananufaika na huduma hii”. Ameeleza Prof. Mbarawa.

ADVERTISEMENT

 

Mbali na hayo, Waziri Mbarawa ameweka wazi kuwa serikali imewekeza fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji ikiwemo katika jiji la Dar es Salaam ambapo Sh. 800 bilioni zimewekezwa, Arusha ikitengewa Sh. 500 bilioni huku mradi wa Shinyanga, Tabora na Nzega ukitengewa takribani Sh. 600.5. Aidha, Waziri Mbarawa amezitaka mamlaka za maji kuweka pembeni sehemu ya mapato yao kwa ajili ya kupanua huduma wanazotoa kwa wananchi.

 

Tags: DodomafedhamajiMakame MbarawaTehama
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

UBA yamchangia mama aliyejifungua mapacha walioungana bima ya afya na nyumba ya thamani ya TZS 16,080,000

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In