• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mamlaka za maji zashauriwa kutumia TEHAMA

“Matumizi ya TEHAMA yatasaidia mamlaka zote kuongeza mapato yake hali itakayosaidia kuimarisha huduma zinazotolewa kwa wananchi kwa kutumia fedha zitakazokusanywa na dhamira yetu kama viongozi ni kuhakikisha kuwa wananchi wananufaika na huduma hii"

Patricia Richard by Patricia Richard
November 8, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa.

Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa ametoa wito kwa watendaji wakuu wa mamlaka za maji pamoja na wahandisi wa maji kuanza kutumia mifumo ya kisasa ya TEHAMA ili kuongeza ufanisi wa mamlaka hizo katika ukusanyaji wa mapato. Waziri Mbarawa ametoa ushauri huo wakati akifungua kikao cha siku mbili cha watendaji wakuu wa mamlaka za maji na wahandisi wa mikoa kinachofanyika jijini Dodoma, lengo likiwa ni kujenga uwezo kwa watendaji hao ili waweze kutekeleza kikamilifu azma ya serikali ya awamu ya tano ya kuhakikisha kila mwananchi anafikiwa na huduma ya majisafi.

 

“Matumizi ya TEHAMA yatasaidia mamlaka zote kuongeza mapato yake hali itakayosaidia kuimarisha huduma zinazotolewa kwa wananchi kwa kutumia fedha zitakazokusanywa na dhamira yetu kama viongozi ni kuhakikisha kuwa wananchi wananufaika na huduma hii”. Ameeleza Prof. Mbarawa.

 

ADVERTISEMENT

Mbali na hayo, Waziri Mbarawa ameweka wazi kuwa serikali imewekeza fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji ikiwemo katika jiji la Dar es Salaam ambapo Sh. 800 bilioni zimewekezwa, Arusha ikitengewa Sh. 500 bilioni huku mradi wa Shinyanga, Tabora na Nzega ukitengewa takribani Sh. 600.5. Aidha, Waziri Mbarawa amezitaka mamlaka za maji kuweka pembeni sehemu ya mapato yao kwa ajili ya kupanua huduma wanazotoa kwa wananchi.

 

Tags: DodomafedhamajiMakame MbarawaTehama
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

UBA yamchangia mama aliyejifungua mapacha walioungana bima ya afya na nyumba ya thamani ya TZS 16,080,000

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In