• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wanaochimba visima bila kufuata sheria kubanwa

Kauli hiyo ya Waziri Mbarawa inakuja siku chache baada ya Bodi hiyo kutangaza kuanza operesheni ya kuwatafuta wote waliochimba visima vya maji na kutumia maji hayo pasipo kulipia kodi.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 22, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Wizara ya Maji yaomba bilioni 600/- bungeni

Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Prof. Makame Mbarawa ameitaka Bodi ya Maji ya Bonde la Wami/Ruvu kusimamia Sheria kwa kuwachukulia hatua wale wanaochimba visima bila kufuata taratibu zilizopo kwa mujibu wa Sheria ili kunusuru vyanzo vya maji. Waziri Mbarawa amesema hayo jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa kampeni maalum ya upandaji miti katika vyanzi vya maji na kuongeza kuwa, Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASA) inayo maji yenye viwango vya ubora vya kimataifa hivyo hakuna sababu ya watu kuendelea kuchimba visima.

Kauli hiyo ya Waziri Mbarawa inakuja siku chache baada ya Bodi hiyo kutangaza kuanza operesheni ya kuwatafuta wote waliochimba visima vya maji na kutumia maji hayo pasipo kulipia kodi.

ADVERTISEMENT

“Kuna Sheria ipo kabla ya kuchimba kisima unatakiwa kufanya, kuna utaratibu wa kufuata, unaenda kwa watu wa bonde unasema unataka kuchimba kisima wanakupa kibali cha kuchimba na baada ya hapo wanakuja kupima maji yanayotoka pale kuangalia ubora”. Amefafanua Prof, Mbarawa.

Kwa upande wake, Ofisa wa Bodi ya Maji ya Bonde la Wami/Ruvu Simon Ngonyani amesema kufuatia agizo hilo, watahakikisha  wanasimamia Sheria ili kulibda vyanzo vya maji.

“Ni kweli kabisa hiki chanzo ni kikubwa kwa Dawasa kusambaza maji, namhakikishia Waziri kuwa tutafanya kazi ya kutunza vyanzo vya maji na kwa hapa tutaongeza kasi kwa kuanza kusimamia Sheria ya mita 60 kukaa mbali na vyanzo vya maji”. Ameeleza Ofisa huyo.

Tags: kodimajiProf. Makame Mbarawasheria
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Dk. Kijaji: Wateja wa FBME kulipwa

Sheria ya takwimu haizuii tafiti kufanyika-Dk. Kijaji

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In