• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wananchi Tanga washauriwa kuchangamkia fursa mradi wa gesi

Patricia Richard by Patricia Richard
October 16, 2018
in NISHATI
0
Afisa Mwandamizi wa TPDC Ayubu Masenza (katikati) akitoa elimu kwa wananchi katika maonyesha ya wiki ya vijana kitaifa jijini Tanga.

Afisa Mwandamizi wa TPDC Ayubu Masenza (katikati) akitoa elimu kwa wananchi katika maonyesha ya wiki ya vijana kitaifa jijini Tanga.

Share on FacebookShare on Twitter

Afisa Mwandamizi kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Ayubu Masenza ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Tanga kuchangamkia fursa ikiwemo kupokea mradi mpya wa bomba la gesi toka Tanga hadi Uganda, mradi ambao utakwenda sambamba na mradi mkubwa wa bomba la mafuta. Masenza amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya vijana kwenye viwanja vya Tangamano jijini humo.

Masenza amefafanua kuwa mbali na mradi wa bomba la mafuta, serikali ya nchini Uganda ipo katika mchakato wa ujenzi wa mradi wa bomba la gesi litakaloanzia jijini humo hadi nchini Uganda na kuongeza kuwa Tanga itakuwa miongoni mwa majiji ambayo yanakuwa kwa kasi kutokana na uwepo wa miradi mikubwa ambayo inatarajiwa kutekelezwa na serikali za pande zote mbili ikiwa ni matokeo ya ushirikiano mzuri wa kiuchumi.

ADVERTISEMENT

Aidha, Afisa huyo amedai kuwa uwepo wa gesi jijini Tanga utaongeza fursa za uwekezaji kutokana na viwanda vingi kutumia gesi katika shughuli zake za uzalishaji. Pamoja na hayo, mradhi huo utapelekea ongezeko la ajira na kuchochea kuongezeka kwa matumizi ya gesi hasa viwandani, mashuleni, taasisi za kijeshi, hospitali na kwa wananchi wa kawaida, jambo ambalo linaweza kupunguza uharibifu wa mazingira.

“Ni jukumu la wananchi wa Tanga sasa kuweza kunufaika, mbali na serikali lakini pia mwananchi mmoja mmoja wana nafasi kubwa kunufaika na miradi hii itakayoweza kubadilisha maisha yao kwa ujumla”. Amesema Masenza.

Tags: ajirabomba la mafutagesiTangaTPDCUgandauwekezajiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye (wa kwanza kulia) akipata maelezo kuhusu namna mkongo wa taifa wa mawasiliano unavyofanya kazi.

Mkongo wa taifa wa mawasiliano waongeza mapato

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In