• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Bank M kuwa sehemu ya Azania bank Limited.

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
January 15, 2019
in BENKI, BIASHARA, UWEKEZAJI
0
Naibu gavana wa Benki kuu Dk.Bernad Kibese akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.Picha na michuzi blog

Naibu gavana wa Benki kuu Dk.Bernad Kibese akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.Picha na michuzi blog

Share on FacebookShare on Twitter

Benki kuu ya Tanzania(BoT) imekamilisha mchakato wa kuihamisha iliyokua benki M ya nchini Tanzania kuwa sehemu ya benki ya Azania Limited baada ya benki hiyo kupungukiwa ukwasi.

Akizungumza na waandishi wa habari jiji dar es salaam naibu gavana wa benki kuu Dk Bernad kibese alisema uamuzi huo umezingatia kifungu cha 59(4) cha sheria ya mabenki na taasisi za fedha ya mwaka 2006 inachoipa mamlaka benki kuu ya kusimamia taasisi za fedha nchini ambapo baada ya kukamilika kwa mchakato huo sasa rasmi mali na madeni ya benki M yatahamishiwa benki ya Azania.

“Hivyo kwa mamlaka niliyopewa chini ya kifungu cha 58 ibara ya 20(h) cha sheria ya mabenki na taasisi za fedha ya mwaka 2006,benki kuu imeamua rasmi kuhamisha kwa mujibu wa sheria mali na madeni yote ya benki M kwenda Azania benki.

ADVERTISEMENT

Pia naibu gavana aliwataka wateja wenye amana na wadaiwa wa benki M kuwasiliana na benki kuu huku wakisubiri kuambiwa tarehe rasmi ya kuanza kupata huduma kupitia benki ya Azania huku waliokuwa wateja wa mikopo wakitakiwa kuendelea kurejesha mikopo yao kama walikubaliana na benki M.

Benki M ilipewa leseni hapa nchini mwaka 2008 ikiwa na mtaji wa Trilioni 1 na matawi matano.Bot iliamua kuiweaka katika ungalizi maalumu toka mwezi novemba 2018 baada ya kupungukuwa ukwasi.

Tags: benkibenki mbiasharaBoTfedhasheriaukwasi
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Makubaliano mapya Airtel, Serikali yasainiwa

Makubaliano mapya Airtel, Serikali yasainiwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In