• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Bussemaker wa NMB aagwa, aishukuru serikali

Benki hiyo imepata mafanikio ikiwemo kufungua matawi mapya ambapo hadi sasa NMB ina jumla ya matawi 228 nchini kote, mashine za kutoa fedha (ATM) takribani 800 pamoja na mawakala wapatao 6,000.

Patricia Richard by Patricia Richard
December 17, 2018
in BENKI
0
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya NMB, Ineke Bussemaker.

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya NMB, Ineke Bussemaker.

Share on FacebookShare on Twitter

Baada ya kumaliza kipindi chake cha miaka minne kuongoza benki ya NMB, Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Ineke Bussemaker ametoa pongezi kwa serikali kwa namna iliyoshirikiana naye kipindi chote cha uongozi wake. Bussemaker amesema hayo katika hafla ya kumuaga rasmi iliyofanyika jijini Dar es salaam ambapo mbali ya kuishukuru serikali, Mkurugenzi huyo pia amewashukuru watanzania na kusema wamemuwezesha kufanya kazi kwa mafanikio.

Katika hafla hiyo, watendaji mbalimbali kutoka taasisi nyingine pia walishiriki kumuaga Bussemaker ambapo Mkurugenzi huyo alitumia fursa hiyo kutoa wito kwa wafanyakazi wa benki ya NMB kufanya kazi kama timu moja. Bussemaker ameeleza kuwa, benki hiyo imepata mafanikio ikiwemo kufungua matawi mapya ambapo hadi sasa NMB ina jumla ya matawi 228 nchini kote, mashine za kutoa fedha (ATM) takribani 800 pamoja na mawakala wapatao 6,000. Aidha, chini ya uongozi wake, benki ya NMB imefanikiwa kuzindua matumizi ya kadi za Mastercard ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya benki hiyo inayolenga teknolojia na ubunifu.

ADVERTISEMENT

“Naomba jamii kufanya biashara na sisi kwa ajili ya maendeleo ya viwanda na kuwawezesha wanawake katika awamu hii ya tano”. Amesema Bussemaker.

Tags: biasharaIneke BussemakermaendeleoNMB
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Meneja wa NHIF mkoa wa Arusha,Isaya Shekifu akizungumza  wakati wa mkutano na viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika wa mazao na mfuko huo. Kushoto ni Afisa Matekelezo wa NHIF,Miraji Kisile na Mrajisi wa Ushirika mkoa wa Arusha,Emmanuel Sanka.

Wakulima washauriwa kujiunga NHIF

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In