• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

CRDB benki yazindua kampeni ya kuweka akiba

CRDB imetenga kiasi cha shilingi milioni 100 kama zawadi kwa wateja

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
October 19, 2020
in BENKI
0
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi Benki ya CRDB, Stephen Adili akizungumza na Waandishi wa habari.

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi Benki ya CRDB, Stephen Adili akizungumza na Waandishi wa habari.

Share on FacebookShare on Twitter

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imezindua kampeni ya kuhamasisha watanzania kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba.

Kampeni hiyo iloyopewa jina la “Jipe Tano” inalenga kuwasaidia wateja na watanzania kufikia malengo yao ya kimaisha pamoja na kumudu gharama mbalimbali kupitia utamaduni wa kujiwekea akiba.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya CRDB Stephen Adili amesema “tuna tambua wateja wetu wana malengo ambayo wamejiwekea katika maisha, na sisi kama benki ya kizalendo tuna jukumu la kuhakikisha wateja wetu wanafikia malengo kupitia huduma na bidhaa bunifu zitolewazo na benki yetu”.

Amesema katika kampeni hiyo, CRDB imetenga kiasi cha shilingi milioni 100 ambapo wateja watakuwa wakijishindia zawadi ya Sh 5,000 kila watakapoweka akiba katika akaunti zao ikiwemo akaunti za Watoto Junior Jumbo, Malkia kwa ajili ya wanawake, Schoolar kwa ajili ya wanafunzi, FahariKilimo kwa ajili ya wakulima, Tanzanite kwa ajili ya watanzania waishio nje ya nchi, Pensheni kwa ajili ya wastaafu, na akaunti nyingine za uwekezaji kama Dhahabu, Thamani na akaunti za muda maalum.

Ameeleza kuwa “mteja atakapoweka akiba katika akaunti yake atapata nafasi ya kujishindia Sh. 5,000 kila siku. Tunafanya hivi ili kuongeza hamasa kwa wateja kuweka akiba zaidi na kujenga utamaduni huu kwa watanzania”.

ADVERTISEMENT

Amesema benki hiyo itakuwa inatoa zaadi kwa washindi 240 kwa siku hadi mwishoni mwa mwezi Desemba kampeni hiyo itakapofika kilele.

Mkuu wa Kitengo cha Masoko Joseline Kamuhanda amesema wateja watahitajika kuweka akiba katika akaunti zao mara kwa mara ili kujiongezea nafasi ya kushinda zaidi.

Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

MCL kuhamasisha wananchi kuwekeza kwenye mafuta, gesi

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In