• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, November 28, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Fukwe sasa kuchochea utalii

Patricia Richard by Patricia Richard
October 13, 2018
in BIASHARA
0
Kongamano uwezeshaji kufanyika Juni 15

Waziri Mkuu wa Tanzania,Kassim Majaliwa.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema serikali imejipanga kuimarisha matumizi ya fukwe na kuzifanya kuwa sehemu ya kivutio cha utalii ili kuongeza idadi ya watalii wanaofika hapa nchini, kutengeneza ajira kwa wananchi na vilevile kukuza uchumi wa taifa. Majaliwa amesema hayo kwenye ufunguzi wa onyesho la kimataifa la Utalii la Swahili International Tourism Expo ambapo alimuwakilisha Rais John Magufuli.

Onyesho hilo la siku tatu linalofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es salaam linahudhuriwa na wafanyabiashara wakubwa wa utalii wapatao 170  kutoka nchi mbalimbali duniani pamoja na wauzaji wa bidhaa za utalii wanaofikia 300 kutoka ndani na nje ya nchi.

Waziri Majaliwa ameeleza kuwa, sekta ya utalii inachangia zaidi ya asilimia 25 ya mauzo yote ya nje na imeajiri watu wapatao 1,500,000. Majaliwa amedai kuwa kutokana na juhudi za utangazaji wa vivutio vya utalii nchini unaoratibiwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), wageni wameongezeka na wamekuwa wakifika kuona vivutio huku wakitambua kuwa Tanzania ni nchi ya amani, yenye utulivu na watanzania ni watu wakarimu.

ADVERTISEMENT

Pamoja na hayo, Waziri Mkuu amemshukuru Rais Magufuli kwa jitihada zake kwenye maendeleo ya sekta ya utalii nchini kutokana na hatua ambazo amekuwa akichukua ili kukuza sekta hiyo.

“Ununuzi wa ndege saba mpya za Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) ambapo ndege nne tayari zimeshawasili na kuanza kutoa huduma ni kielelezo tosha cha juhudi za serikali. Kati ya ndege hizi zipo ambazo hivi karibuni zitaanza kutoa huduma ya usafiri kati ya Tanzania na nchi za India na China”. Ameeleza Majaliwa.

Tags: ajiraATCLKassim Majaliwauchumiutalii
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mhandisi Raymond Seya (kushoto) akizungumza na Mhandisi Mmanda (kulia).

TANESCO yakaribisha wawekezaji wa viwanda

Discussion about this post

Habari Mpya

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

November 25, 2023

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

November 24, 2023
Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT).

Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula

November 23, 2023
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.

Biashara baina ya Tanzania, UAE Dola bilioni 3.2

November 23, 2023

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yajinoa matumizi gesi asilia

November 22, 2023

Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga

November 22, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

by Pesatu Reporter
November 25, 2023
0

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

by Pesatu Reporter
November 24, 2023
0

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In