• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima,wajasiriamali kulamba bilioni 500 NMB

Patricia Richard by Patricia Richard
September 26, 2018
in MIKOPO
0
Mkuu wa kitengo cha wateja wakubwa na serikali wa NMB Filbert Mponzi (Kushoto)

Mkuu wa kitengo cha wateja wakubwa na serikali wa NMB Filbert Mponzi (Kushoto)

Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa kitengo cha wateja wakubwa na serikali wa NMB Filbert Mponzi amesema benki hiyo imetenga kiasi cha Sh. 500 bilioni maalum kwa ajili ya wajasiriamali na sekta ya kilimo na mifugo ili kuchochea ushiriki wa sekta binafsi katika kujenga uchumi. Mponzi amesema hayo katika mkutano mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) na kuongeza kuwa benki ya NMB imekuwa mstari wa mbele kutekeleza harakati mbalimbali pamoja na serikali ikiwemo kuinua wananchi kiuchumi. Mponzi pia ameweka wazi kuwa fedha hizo zitakopeshwa kwa kipindi cha miaka mitano ili kuwezesha wananchi kushiriki katika ujenzi wa taifa.

“Uchumi wa viwanda unategemea sana sekta ya kilimo na mifugo, hivyo NMB itaendelea kuwa mstari wa mbele kuwasaidia wajasirimali wadogo kupata mikopo nafuu na rafiki ili kuimarisha miradi yao”. Ameeleza Mkuu huyo.

ADVERTISEMENT

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania (BoT), kwa miaka miwili iliyopita mikopo ya benki za biashara kwenda sekta binafsi imeonyesha kupungua kutokana na kuongezeka kwa mikopo isiyolipika, kulikochangia kushusha faida ya taasisi mbalimbali za kifedha nchini.

Katika maelezo yake, Mponzi pia ametaja sababu iliyopelekea NMB kupandisha bajeti baada ya kukopesha zaidi ya Sh. 280 bilioni kwa miaka miwili iliyopita kuwa ni kuwanufaisha watanzania wengi zaidi.

Tags: ALATBoTfedhakilimomikopoNMBwajasiriamali
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
(Picha: HabariLeo)

Maonyesho ya dhahabu yaanza

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In