• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima,wajasiriamali kulamba bilioni 500 NMB

Patricia Richard by Patricia Richard
September 26, 2018
in MIKOPO
0
Mkuu wa kitengo cha wateja wakubwa na serikali wa NMB Filbert Mponzi (Kushoto)

Mkuu wa kitengo cha wateja wakubwa na serikali wa NMB Filbert Mponzi (Kushoto)

Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa kitengo cha wateja wakubwa na serikali wa NMB Filbert Mponzi amesema benki hiyo imetenga kiasi cha Sh. 500 bilioni maalum kwa ajili ya wajasiriamali na sekta ya kilimo na mifugo ili kuchochea ushiriki wa sekta binafsi katika kujenga uchumi. Mponzi amesema hayo katika mkutano mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) na kuongeza kuwa benki ya NMB imekuwa mstari wa mbele kutekeleza harakati mbalimbali pamoja na serikali ikiwemo kuinua wananchi kiuchumi. Mponzi pia ameweka wazi kuwa fedha hizo zitakopeshwa kwa kipindi cha miaka mitano ili kuwezesha wananchi kushiriki katika ujenzi wa taifa.

“Uchumi wa viwanda unategemea sana sekta ya kilimo na mifugo, hivyo NMB itaendelea kuwa mstari wa mbele kuwasaidia wajasirimali wadogo kupata mikopo nafuu na rafiki ili kuimarisha miradi yao”. Ameeleza Mkuu huyo.

ADVERTISEMENT

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania (BoT), kwa miaka miwili iliyopita mikopo ya benki za biashara kwenda sekta binafsi imeonyesha kupungua kutokana na kuongezeka kwa mikopo isiyolipika, kulikochangia kushusha faida ya taasisi mbalimbali za kifedha nchini.

Katika maelezo yake, Mponzi pia ametaja sababu iliyopelekea NMB kupandisha bajeti baada ya kukopesha zaidi ya Sh. 280 bilioni kwa miaka miwili iliyopita kuwa ni kuwanufaisha watanzania wengi zaidi.

Tags: ALATBoTfedhakilimomikopoNMBwajasiriamali
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
(Picha: HabariLeo)

Maonyesho ya dhahabu yaanza

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In