• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Bilioni 116 kumaliza tatizo la maji

"Lengo letu ifikapo 2020 tuwe tumefikisha asilimia 95 ya wananchi wanaopata huduma ya majisafi na salama"

Patricia Richard by Patricia Richard
December 19, 2018
in UWEKEZAJI
0
WAPCOS yafadhili mradi wa maji
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa ametoa ahadi ya uhakika wa majisafi na salama kwa wakazi wa wilaya ya Bagamoyo kufuatia hatua nzuri za utekelezaji wa miradi ya maji katika wilayani humo. Waziri Mbarawa amesema hayo alipotembelea kitongoji cha Kiembeni wilayani Bagamoyo ikiwa ni muendelezo wa ziara zake zenye lengo la kutatua kero za maji. Prof. Mbarawa amewatoa wasiwasi wakazi wa wilaya hiyo na kuwataarifu Sh. 116 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kukamilisha mradi mkubwa wa maji ambao utahudumia wilaya nzima ya Bagamoyo, Pwani kwa ujumla pamoja na jiji la Dar es salaam

Aidha, Waziri huyo amesema fedha za mradi huo zipo tayari na wanasubiri bodi kupitisha. Prof. Mbarawa pia amewaambia wananchi hauo kuwa wapo katika hatua za mwisho za kumpata mkandarasi wa ujenzi wa mradi huo mkubwa wa maji katika wilaya ya Bagamoyo na kuwataka wakazi wa wilaya hiyo kutunza miundombinu pamoja na kuwataka kulipa bili za maji vizuri ili kuendelea kupata huduma bora ya maji.

ADVERTISEMENT

“Tayari pesa ipo na lengo letu ifikapo 2020 tuwe tumefikisha asilimia 95 ya wananchi wanaopata huduma ya majisafi na salama, naomba niwahakikishie watanzania kwama watapata maji wote kwa sababu serikali imekuja na mpango wa kuchukua maji kutoka vyanzo vya maji na kuyafikisha sehemu ya makazi ya wananchi”. Ameelez Prof. Mbarawa.

 

 

Tags: BagamoyofedhaMajisafiProf. Makame Mbarawa
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Korosho ni mapatano-Manyanya

Maghala ya korosho Mtwara yajaa

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In