• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

SERIKALI YAJENGA MAABARA YA KISASA MKOANI KILIMANJARO

Ina thamani ya pesa za Kitanzania Bilioni 9

Jensen Kato by Jensen Kato
June 22, 2020
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imejenga Maabara ya Kisasa ya uchunguzi wa magonjwa ya binadamu ya kuambukiza yenye thamani ya shilingi Bilion tisa katika Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Maabara hiyo ikiwa  inaelekea kukamilika ili kuanza kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa ya kuambukiza.

“Mmekuwa mkisikia mara nyingi nikisema kwamba tunajenga maabara ya kisasa yenye thamani ya shilingi Bilion tisa kwenye Wilaya ya Siha, lakini leo tunaliona jengo hilo lenye thamani hiyo” alisema.

Aliendelea kusema kuwa, tangia Uhuru wa nchi yetu mpaka 2015, Serikali Serikali Serikali ilikuwa na Hospitali za Wilaya sabini na saba tu, huku akiweka wazi kuwa tangia Serikali inayoongozwa na Dkt. John Pombe Magufuli iingie madarakani tayari Hospitali za Wilaya 67 zimekwisha jengwa ili kuboresha upatikanaji wa huduma za Afya.

“Toka Uhuru tumekuwa na Hospitali za Wilaya sabini na saba, lakini kwa miaka hii mitano Hospitali zilizokwisha jengwa ni sitini na saba na kwenye bajeti hii, mpaka 2021 zitaenda kuwa karibia 90, maana yake tukienda kwa kasi hii huduma za Afya zitakuwa nzuri sana” alisema.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe. Mhe. Onesmo Buswelu amemshukuru Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kutoa fedha nyingi kwaajili ya ujenzi wa Maabara hiyo ya magonjwa ya kuambukiza ambayo itakuwa msaada mkubwa kwa wananchi wa Siha Kilimanjaro na Tanzania kwa ujumla.

ADVERTISEMENT

“Tunaishukuru Serikali kwa kutoa fedha nyingi kwa wananchi wa Wilaya ya Siha, lakini kwa Watanzania kwa ujumla kwasababu masuala ya magonjwa ambukizi yanaenda kuchunguzwa na kutibiwa hapa” alisema.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Kibong’oto Dkt. Riziki Kisongo amesema kuwa, mradi huu utakuwa na manufaa makubwa kwa Hospitali na nchi kwa ujumla kama kupanua wigo wa kuchunguza vimelea vya magonjwa ambukizi kama vile Corona, pia itatumika kufanya tafiti za changamoto za magonjwa ambukizi nchini na kuelimisha Wataalamu mbali mbali nchini.

“Mradi huu ambao unakaribia kukamilika sio mda mrefu utakuwa na manufaa sana kwa hospitali na kwa nchi nzima, kwanza utapanua wigo wa kuchunguza vimelea vya magonjwa ambukizi hatari kama vile vya Corona na virusi vingine, pia utatumika katika kufanya tafiti mbali mbali za changamoto ya magonjwa ambukizi nchini, na utaweka faida ya kuelimisha Wataalamu mbali mbali katika nyanja ya Maabara ambao watakuwa rasilimali kubwa nchini kwetu ” alisema.

Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

WAKULIMA UFUTA WAPEWA SOMO LA STAKABADHI

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In