• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wanawake kupewa kipaumbele uwekezaji

Waziri ahaidi kuwapa kipaumbele wanawake vibali vya uwekezaji

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
March 10, 2021
in BIASHARA, UWEKEZAJI
0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Ummy Mwalimu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Ummy Mwalimu

Share on FacebookShare on Twitter

Katika kuinua wanawake katika sekta mbalimbali ikiwemo uwekezaji, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Ummy Mwalimu ameahidi kuanzisha dirisha maalumu litakalo wasaidia wanawake katika uwekezaji ili kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wanapotaka kuwekeza.

Waziri Ummy amesema atahakikisha anatoa kipaumbele kwenye kutoa vibali vya Mazingira ili mradi tu biashara au uwekezaji unafanywa na mwanamke.

Ameyasema hayo katika hafla ya utoaji Tuzo za Viwanda kwa Wanawake Wajasiriamali Tanzania iliyoandaliwa na Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (Tanzania Women Chamber of Commerce) kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

ADVERTISEMENT

“Kupitia NEMC ninawaahidi kuanzisha dirisha maalum la biashara na uwekezaji ili kuweka mazingira mazuri kwa mwanamke anayetaka kuwekeza awekeze bila vikwazo, moja ya kipaumbele ni kuhusu vibali kutoka kwa wakati” amesema Waziri Ummy.

Amewata wanawake kutokata tamaa na kuondoa uwoga wanapotaka kufanya uwekezaji. Amesema”ndugu zetu wanaume hawaogopi ndiyo maana wapo mbali katika kufanya biashara na uwekezaji, nasisitiza kuwa mwanamke aondoe hofu anapotaka kuwekeza, afanye kazi kwa bidii ili aweze kufikia malengo na mafanikio makubwa”.

Aidha, ametoa rai kwa wanawake kuchangamkia fursa kwenye sekta ya mazingira, mfano kupitia marufuku ya mifuko ya plastiki watengeneze mifuko mbadala. Pia watumie nishati mbadala wakati wa uzalishaji kuliko kutumia nishati ya miti, hii itasaidia kupunguza uharibifu wa mazingira na kuzuia mabadiliko ya tabia nchi.

Mkurugenzi wa Idara ya Watoto, Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto, Mwajuma Magwiza, amesema kupitia mamlaka za Serikali za Mitaa, Serikali imekuwa ikitenga fedha za mikopo yenye masharti nafuu kwa wanawake kupitia vikundi ili kuwapa fursa ya kuanzisha biashara na uwekezaji.

Rais wa wanawake wajasiriamali Tanzania, Maida Waziri, amesema adui wa mwanamke siyo mwanamke bali ni umasikini, wanawake washirikiane kuukataa umasikini kwa vitendo.

Tags: biasharamazingiraTanzaniauwekezajiwanawake
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi akaribisha wawekezaji wa Kenya

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In