• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Benki ya Afrika yampongeza Magufuli uimara wa uchumi Tanzania

Rais Magufuli apongezwa uchumi wa Tanzania

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
March 9, 2021
in BENKI, Uncategorized
0
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli.

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli.

Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imempongeza Rais John Magufuli kwa uthubutu ulioiwezesha Tanzania kuwa miongoni mwa nchi yenye uchumi unaokuwa kwa kasi barani Afrika licha ya janga la virusi vya corona.

Rais wa AfDB Dk. Akinwumi Adesina amesema “kwanza napenda kumpongeza rais Magufuli kwa kuchaguliwa tena. Rais Magufuli ni mtendaji. Sasa hivi ukizungumzia suala la miradi haipungui kwake, ni mtu mwenye kasi, humaliza miradi na kufanya mingine”.

Rais Adenisa, alitoa pongezi hizo wakati wa salamu fupi kuhusu uimara wa uchumi wa tanzania na pongezi kwa rais Magufuli.

Kuhusu ukuaji wa uchumi wa Tanzania alisema nchi ilifanikiwa katika ukuaji wa Pato la Taifa (DGP) la asilimia 6.9 mwaka 2019.

Alisema “wakati ukuaji wa uchumi uliposhuka barani Afrika hadi asilimia -2.1 mwaka 2020 kutokana janga la Corona, Tanzania bado imeweza kurekodi ukuaji wa asilimia 2.1, hilo ni jambo kubwa sana. Benki ya Maendeleo Afrika ilitabiri kuimatika kwa uchumi Tanzania mwaka 2021”.

ADVERTISEMENT

Ukuaji halisi wa Pato la Taifa unatarajiwa kuongezeka hadi asilimia 4.1 mwaka 2021 na utaongezeka mpaka asilimia 5.8 mwaka 2022. Aliongeza kuwa Tanzania ni nchi inayostahimili na yenye misingi madhubuti ya uchumi.

Aidha, aliwataka viongozi wengine barani Afrika watambue kuwa rais Magufuli ni mtu wa kucdhukua hatua hassa linapokuja swala la utekelezaji wa miradi ya maaendeleo kwa wananchi.

 

Tags: benki ya maendeleo AfrikaTanzaniauchumi
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Ummy Mwalimu

Wanawake kupewa kipaumbele uwekezaji

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In