• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Magufuli arejesha kikokotoo cha zamani, Mkurugenzi SSRA atumbuliwa

Rais ameagiza utaratiibu wa zamani kuendelea kutumika ambapo wastaafu watapatiwa mafao ya mkupuo ya asilimia 50.

Patricia Richard by Patricia Richard
December 29, 2018
in FEDHA
0
JPM ahoji Mbeya kukosa stendi

Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.

Share on FacebookShare on Twitter

Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameagiza vikokotoo vya zamani vya mafao ya wafanyakazi wa serikali pamoja na sekta binafsi katika mifuko ya hifadhi ya jamii viendelee kutumika kwa kila mfuko hadi mwaka 2023. Rais Magufuli ametoa uamuzi huo alipokutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), vyama shiriki, watendaji wakuu wa mifuko ya Hifadhi ya jamii ya PSSSF na NSSF na Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii (SSRA) kwa ajili ya kujadili kwa pamoja mjadala wa kikokotoo kipya cha mafao kwa wastaafu.

Rais Magufuli ameagiza utaratibu wa zamani kuendelea kutumika ambapo wastaafu watapatiwa mafao ya mkupuo ya asilimia 50 kwa wastaafu wa serikali na asilimia 25 kwa wale wa sekta binafsi na sio kama ilivyopendekezwa katika kanuni mpya za ukokotoaji.

ADVERTISEMENT

“Mstaafu anaambiwa fedha nyingine atunziwe ili aendelee kuishi nazo katika kipindi cha maisha yake. Wanaopanga hivyo wamejuaje kama mhusika anataka kuishi wakati fedha zake anaziona zinavyotumika katika miradi isiyo na tija? Ukweli kabisa tufikirie haya mambo tunayotakiwa kuyafanya ungefanyiwa wewe ingekuaje? Hiki ndicho kitu cha msingi tunachotakiwa kukibeba”. Ameeleza Rais Magufuli.

Aidha, baada ya kufanyika kwa kikao hicho na Rais, taarifa iliyotolewa na Ikulu imeeleza kuwa Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa SSRA Dk. Irene Isaka. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu mpya utafanywa baadae.

Tags: fedhaMagufuliSSRAWastaafu
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa, Selemani Jafo.

Waziri Jafo abaini ufisadi wa mabilioni Ulanga

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In