• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, November 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Magufuli arejesha kikokotoo cha zamani, Mkurugenzi SSRA atumbuliwa

Rais ameagiza utaratiibu wa zamani kuendelea kutumika ambapo wastaafu watapatiwa mafao ya mkupuo ya asilimia 50.

Patricia Richard by Patricia Richard
December 29, 2018
in FEDHA
0
JPM ahoji Mbeya kukosa stendi

Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.

Share on FacebookShare on Twitter

Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameagiza vikokotoo vya zamani vya mafao ya wafanyakazi wa serikali pamoja na sekta binafsi katika mifuko ya hifadhi ya jamii viendelee kutumika kwa kila mfuko hadi mwaka 2023. Rais Magufuli ametoa uamuzi huo alipokutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), vyama shiriki, watendaji wakuu wa mifuko ya Hifadhi ya jamii ya PSSSF na NSSF na Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii (SSRA) kwa ajili ya kujadili kwa pamoja mjadala wa kikokotoo kipya cha mafao kwa wastaafu.

Rais Magufuli ameagiza utaratibu wa zamani kuendelea kutumika ambapo wastaafu watapatiwa mafao ya mkupuo ya asilimia 50 kwa wastaafu wa serikali na asilimia 25 kwa wale wa sekta binafsi na sio kama ilivyopendekezwa katika kanuni mpya za ukokotoaji.

ADVERTISEMENT

“Mstaafu anaambiwa fedha nyingine atunziwe ili aendelee kuishi nazo katika kipindi cha maisha yake. Wanaopanga hivyo wamejuaje kama mhusika anataka kuishi wakati fedha zake anaziona zinavyotumika katika miradi isiyo na tija? Ukweli kabisa tufikirie haya mambo tunayotakiwa kuyafanya ungefanyiwa wewe ingekuaje? Hiki ndicho kitu cha msingi tunachotakiwa kukibeba”. Ameeleza Rais Magufuli.

Aidha, baada ya kufanyika kwa kikao hicho na Rais, taarifa iliyotolewa na Ikulu imeeleza kuwa Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa SSRA Dk. Irene Isaka. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu mpya utafanywa baadae.

Tags: fedhaMagufuliSSRAWastaafu
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa, Selemani Jafo.

Waziri Jafo abaini ufisadi wa mabilioni Ulanga

Discussion about this post

Habari Mpya

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

November 25, 2023

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

November 24, 2023
Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT).

Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula

November 23, 2023
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.

Biashara baina ya Tanzania, UAE Dola bilioni 3.2

November 23, 2023

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yajinoa matumizi gesi asilia

November 22, 2023

Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga

November 22, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

by Pesatu Reporter
November 25, 2023
0

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

by Pesatu Reporter
November 24, 2023
0

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In