• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali yatoa neno sakata la saruji

Patricia Richard by Patricia Richard
August 16, 2018
in VIWANDA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji imekutana na wadau wa sekta ya viwanda kujadili kuadimika kwa saruji, sambamba na kupanda bei kwa bidhaa hiyo ambayo imeadimika sokoni. Akiongoza kikao hicho Naibu Waziri wa wizara hiyo Mhandisi Stella Manyanya pamoja na wazalishaji wa saruji, makaa ya mawe pamoja na wasafirishaji na wadhibiti wamejadili sababu za kupungua kwa uzalishaji na kusimamishwa uzalishaji kwa baadhi ya viwanda hivyo. Waziri Manyanya pia amewataka wazalishaji wa saruji kueleza uwezo wa uzalishaji wa bidhaa hiyo kwa kila kiwanda.

“Imenishtua kuwa saruji imepotea sokoni na kupanda bei ghafla, tena viwanda vyote. Tukasema hapo ni zaidi ya masuala ya kiufundi, kwa hiyo tumewaita kuwasilikiliza tujue tatizo ni nini ikiwezekana leo tutoke na uamuzi”.  Amesema Manyanya.

Waziri Manyanya amesema kuwa kipindi hiki kuna fursa nyingi za soko la saruji lakini ameshangazwa kuona bidhaa hiyo ikipotea sokoni na kupanda bei ghafla. Bidhaa ya saruji imepanda bei kutoka Sh. 13,000 kwa mfuko na kufikia Sh. 18,000 hadi Sh. 20,000 kulingana na maeneo.

ADVERTISEMENT

Naye Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage ameeleza sababu zinazopelekea kuadimika kwa saruji nchini na kutaja ubovu wa miundombinu katika kiwanda cha Simba Cement na kuharibika kwa mtambo wa uzalishaji katika kiwanda cha Dangote ambao ni wazalishaji wakubwa kupelekea tatizo hilo kwa kiasi kikubwa.

Hata hivyo, ukarabati katika kiwanda cha Twiga Cement unaendelea kutokana na uzalishaji mkubwa uliofanyika hivi karibuni kutokana na uhitaji wa serikali katika ujenzi na ukarabati wa miradi mbalimbali nchini.  Waziri Mwijage amesema changamoto hiyo itaisha hivi karibuni kwa sababu mzalishaji mkuu ambaye ni kiwanda cha Dangote wameanza uzalishaji mwezi Julai baada ya kufanyiwa matengenezo.

 

Tags: biasharaCharles MwijageDangoteSarujiuwekezajiuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Mwijage asikia kilio cha wafanyabiashara

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In