• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Dk. Tizeba apongeza uzalishaji pamba

Uzalishaji wa zao hilo katika msimu wa ununuzi wa mwaka 2018/19 umeongezeka kwa asilimia 67 na kufikia tani 221,600.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 5, 2018
in UZALISHAJI
0
Fahamu haya kuhusu pamba
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Kilimo, Dk. Charles Tizeba ametoa pongezi kwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wote wa mikoa inayozalisha pamba nchini kwa usimamizi bora uliopelekea uzalishaji wa zao hilo kuongezeka katika msimu wa mwaka 2018/2019. Dk. Tizeba ametoa pongezi hizo leo wakati akifungua mkutano wa 14 wa wadau wa sekta ndogo ya pamba jijini Mwanza na kuongeza kuwa, uzalishaji wa zao hilo katika msimu wa ununuzi wa mwaka 2018/19 umeongezeka kwa asilimia 67 na kufikia tani 221,600.

 

Mbali na hayo, Waziri Tizeba ametoa wito kwa viongozi hao kuongeza ufanisi wa usimamizi wa Pamba kwani pamoja na kuongezeka kwa uzalishaji, bado matarajio ya uzalishaji hayakufikiwa kwa mujibu wa makubaliano huku akitaja baadhi ya sababu zilizopelekea kupungua kwa uzalishaji kuwa ni pamoja na ukame, mlipuko wa wadudu wakiwemo viwavi jeshi vamizi, mvua kubwa kati ya Machi na Mei iliyopelekea kuzama kwa pamba kwenye maeneo yote ya mbuga na mabondeni pamoja na ufahamu mdogo wa wakulima.

ADVERTISEMENT

 

Aidha, Dk. Tizeba ameitaka Bodi ya Pamba kugawa kamba za kupandia kabla ya tarehe 10 Novemba 2018. Waziri huyo pia amezungumzia uamuzi wa serikali kubadilisha mfumo wa kununua pamba ulipokelewa kwa hisia mbalimbali lakini vyama vya ushirika vya msingi vimesimamia kwa ufanisi mkubwa zoezi hilo.

 

“Natambua yapo mapungufu yaliyojitokeza katika shughuli ya ununuzi wa pamba ikiwemo AMCOS kupoteza fedha za makampuni ya pamba mfano wilaya ya Maswa na kuchelewesha kulipa baadhi ya wakulima katika Wilaya za Bunda na Serengeti”. Amesema Waziri Tizeba.

Tags: AMCOS'Charles TizebafedhakilimoMwanzapamba
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Majaliwa ataka changamoto kilimo zitatuliwe

Majaliwa ataka vikwazo ujenzi wa viwanda kuondolewa

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In