• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Dk. Tizeba apongeza uzalishaji pamba

Uzalishaji wa zao hilo katika msimu wa ununuzi wa mwaka 2018/19 umeongezeka kwa asilimia 67 na kufikia tani 221,600.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 5, 2018
in UZALISHAJI
0
Fahamu haya kuhusu pamba
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Kilimo, Dk. Charles Tizeba ametoa pongezi kwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wote wa mikoa inayozalisha pamba nchini kwa usimamizi bora uliopelekea uzalishaji wa zao hilo kuongezeka katika msimu wa mwaka 2018/2019. Dk. Tizeba ametoa pongezi hizo leo wakati akifungua mkutano wa 14 wa wadau wa sekta ndogo ya pamba jijini Mwanza na kuongeza kuwa, uzalishaji wa zao hilo katika msimu wa ununuzi wa mwaka 2018/19 umeongezeka kwa asilimia 67 na kufikia tani 221,600.

 

Mbali na hayo, Waziri Tizeba ametoa wito kwa viongozi hao kuongeza ufanisi wa usimamizi wa Pamba kwani pamoja na kuongezeka kwa uzalishaji, bado matarajio ya uzalishaji hayakufikiwa kwa mujibu wa makubaliano huku akitaja baadhi ya sababu zilizopelekea kupungua kwa uzalishaji kuwa ni pamoja na ukame, mlipuko wa wadudu wakiwemo viwavi jeshi vamizi, mvua kubwa kati ya Machi na Mei iliyopelekea kuzama kwa pamba kwenye maeneo yote ya mbuga na mabondeni pamoja na ufahamu mdogo wa wakulima.

 

ADVERTISEMENT

Aidha, Dk. Tizeba ameitaka Bodi ya Pamba kugawa kamba za kupandia kabla ya tarehe 10 Novemba 2018. Waziri huyo pia amezungumzia uamuzi wa serikali kubadilisha mfumo wa kununua pamba ulipokelewa kwa hisia mbalimbali lakini vyama vya ushirika vya msingi vimesimamia kwa ufanisi mkubwa zoezi hilo.

 

“Natambua yapo mapungufu yaliyojitokeza katika shughuli ya ununuzi wa pamba ikiwemo AMCOS kupoteza fedha za makampuni ya pamba mfano wilaya ya Maswa na kuchelewesha kulipa baadhi ya wakulima katika Wilaya za Bunda na Serengeti”. Amesema Waziri Tizeba.

Tags: AMCOS'Charles TizebafedhakilimoMwanzapamba
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Majaliwa ataka changamoto kilimo zitatuliwe

Majaliwa ataka vikwazo ujenzi wa viwanda kuondolewa

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In