• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, June 27, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Tume ya Tehama yasaka wawekezaji

Patricia Richard by Patricia Richard
September 26, 2018
in UWEKEZAJI
0
Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Tehama Tanzania (ICT) Samson Mwela akizungumza na waandishi wa habari.

Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Tehama Tanzania (ICT) Samson Mwela akizungumza na waandishi wa habari.

Share on FacebookShare on Twitter

Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Tehama Tanzania (ICT) Samson Mwela amesema tume hiyo ipo katika harakati ya kumpata mwekezaji katika viwanda vya mabaki na bidhaa zitokanazo na Tehama. Mwela amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam ambapo amesema kuna fursa mbalimbali kwenye sekta hiyo na uwekezaji unahitajika ili kuleta manufaa kwa nchi. Mwela amefafanua kuwa uwekezaji katika sekta ya Tehama utachochea kasi ya uchumi na viwanda na kusisitiza kuwa tume hiyo kuwavutia wadau wa Tehama kuwekeza zaidi katika sekta hiyo.

“Katika kutekeleza mipango hiyo tume imekuja na mpango wa kuanzishwa kwa viwanda vitokanavyo na mabaki ya bidhaa za kielektroniki ambapo mpango huu umepewa jina la E-waste and Manufacturing Industry”. Amesema Mwele.

ADVERTISEMENT

Kaimu Mkurugenzi huyo amefafanua kuwa tume yake imeendesha uchunguzi wa kina ili kufahamu kiasi gani sekta hiyo inaweza kutekeleza ujenzi wa viwanda ili kuiwezesha serikali kutimiza azma ya kujenga uchumi wa kati na wa viwanda mwaka 2025.

“Kwa kuliona hili, sisi kama tume tumekuja na mpango huu ambao utawezesha kuzalisha bidhaa bora na za kisasa zitakazotokana na mabaki ya zana zinazotokana na Tehama”. Ameeleza Mwele.

Mbali na hayo, Kaimu huyo pia amesema mpango huo kwa kiasi kikubwa utasaidia kutunza mazingira kwani mabaki ya zana hizo yatageuka malighafi viwandani ili kuzalisha bidhaa mpya.

 

Tags: E-waste and Manufacturing IndustryICTmalighafiTehamauchumiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkuu wa kitengo cha wateja wakubwa na serikali wa NMB Filbert Mponzi (Kushoto)

Wakulima,wajasiriamali kulamba bilioni 500 NMB

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In