• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali yatoa Bilioni 83/- kununua korosho

Serikali inalenga kuwanufaisha wakulima wa korosho.

Patricia Richard by Patricia Richard
December 10, 2018
in FEDHA
0
Mchakato Bima ya Mazao waiva

Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga amesema hadi kufikia Desemba 08 mwaka huu, serikali imefanikiwa kuwalipa wakulima 82,835 kutoka mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma ambapo jumla ya Sh. 83 bilioni imelipwa kwa wakulima hao ambao tayari wamefanyiwa uhakiki ambapo katika mkoa wa Mtwara wakulima 50,835 wamelipwa, mkoa wa Lindi wakulima 22,131 na mkoa wa Ruvuma wakulima 9,445.

Waziri Hasunga amesema hayo wakati akizungumza kwenye mkutano wa wabanguaji wadogo wa korosho kutoka katika mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma, Pwani na Morogoro. Hasunga amesema hadi sasa jumla ya vyama 328 kati ya vyama 504 vimefanyiwa uhakiki katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma ambapo jumla ya vyama 319 vimekwishalipwa tayari.

Aidha, Waziri huyo ametumia nafasi hiyo kuwatoa hofu wananchi wanaopotoshwa na madai kuwa bado wakulima hawajalipwa kiasi chochote cha fedha na serikali, huku akisisitiza kuwa wakulima wanalipwa kwa njia ya benki an kuataka wananchi kuwa na utamaduni wa kwenda benki.

ADVERTISEMENT

Hasunga amesisitiza kuwa serikali inalenga kuwanufaisha wakulima wa korosho, na kueleza kuwa tayari ametoa maelekezo kwa watendaji wa Bodi ya Korosho Tanzania kusajili wakulima wote wa korosho ili watambulike kwani lengo la serikali ni kuhakikisha wakulima wananufaika hivyo korosho zote zitabanguliwa hapa nchini.

“Tulipoona soko la korosho linayumba huku lengo la serikali likiwa ni kutaka kuona wakulima wananufaika, tuliamua kuingilia kati na kuanza kununua korosho zote na kwa kwenda mbele zaidi tumeamua kubangua korosho zote hapa hapa nchini”. Amesema Waziri huyo.

Tags: fedhaJaphet Hasungakoroshoserikalisoko
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Dk. Kalemani amcharukia mkendarasi

Dk. Kalemani: Mradi wa bomba la mafuta haujasimama

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In