• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wateja wa Tigo kufaidika na gawio

Patricia Richard by Patricia Richard
August 28, 2018
in FEDHA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Wateja na watumiaji wa huduma za Tigopesa wanatarajia kupata gawio la Sh.2.35 bilioni katika awamu ya pili ya mgao huo iliyoishia Juni mwaka huu.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Simon Karikari ambaye ameeleza kuwa, wateja milioni 7 kati ya milioni 12 ndio wanaotumia huduma ya Tigopesa na ndio watakaofaidika kupitia huduma hiyo ambayo imetajwa kusambaa nchi nzima ikitoa huduma kwa wafanyabiashara takribani 40,000 pamoja na mawakala wapatao 85,000.

Soma Pia TIGO yatumia milioni 18 kumaliza tatizo la maji

ADVERTISEMENT

Akielezea mchanganuo wa utoaji wa riba kwa wateja wake, Karikari amesema kuwa tangu mwaka 2014 kampuni ya Tigo imekuwa ikitoa gawio la riba  kwa wateja wake wa huduma za fedha (Tigopesa) ambapo mpaka sasa kampuni hiyo imeweza kutoa kiasi cha Sh. 81.8 bilioni na kuongeza kuwa kiwango anachopata mteja kama gawio hutegemea na kiasi cha fedha kilichopo katika akaunti ya mteja lakini pia kanuni za Benki kuu ya Tanzania zimekuwa zikizingatiwa.

Soma Pia Mambo ya kuzingatia unapoanzisha biashara mtandaoni

Aidha Mkurugenzi huyo ameeleza kuhusu huduma mpya ya Tigo inayomsaidia mteja kuwa na uwezo wa kusitisha muamala wa fedha iliyotumwa kimakosa kwenda kwa mteja mwingine na kueleza kuwa huduma hii itasaidia kuwarahisishia wateja wao usalama wa fedha zao pale zinapotumwa kimakosa huku huduma hiyo ikiambatanishwa na huduma ya teknolojia ya Masterpass QR yenye kuwawezesha wateja wa Tigopesa wanaomiliki Mastercard na Visa kufanya malipo na manunuzi ya bidhaa na huduma.

Tags: BoTfedhaGawioTigo
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Wananchi wapongeza kufufuliwa kiwanda

Kampeni ya kutibu mikorosho yazinduliwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In