• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Faida ya sarafu moja Afrika Mashariki

Patricia Richard by Patricia Richard
July 18, 2018
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Imeshuhudiwa nchi wanachama wa jumuiya mbalimbali ikiwemo Ulaya wakichukua hatua kadhaa katika kuimarisha uchumi wa nchi mwanachama kwa kuanzisha sarafu moja yenye kutumika katika nchi zote mwanachama wa umuiya hiyo.

Moja ya sarafu zilizofanikiwa katika jumuiya mbalimbali duniani ni pamoja na sarafu ya Euro ambayo imekuwa ikitumika bara la Ulaya katika nchi mwanachama ili kuhakikisha lengo la kukuza uchumi kwa wanachama kupitia shughui za kibiashara, uwekezaji na uchukuzi zinafanikiwa kwa kiasi kikubwa.

ADVERTISEMENT

Hivi sasa kuna mchakato wa kuanzisha sarafu moja kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Mchakato wa kuanzisha umoja wa fedha unaolenga kuanzishwa kwa sarafu moja kwa nchi za wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ulianza  Januari 2011 wakati majadiliano kati ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ya kuandaa itifaki ya kuanzisha umoja wa fedha yalipoanza rasmi. Majadiliano hayo yalikamilika mwezi Julai 2013 na itifaki ya kuanzisha umoja wa fedha kupitishwa na Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki Novemba 2013 katika mkutano wa 15 wa wakuu hao uliofanyika jijini Kampala.

Ili kutimiza dhumuni kuu la umoja wa fedha la kujenga ukanda tulivu wa kifedha utakaorahisisha na kusaidia ukuaji wa biashara. Hata hivyo mchakato huu wa kuanzisha sarafu moja unatarajiwa kuanzishwa mara baada ya itifaki hiyo kuridhiwa na mabunge ya nchi wanachama wa jumuiya.

Faida itakayopata Tanzania kutokana na umoja wa fedha na hasa kuwepo kwa sarafu moja ya jumuiya ya Afrika Mashariki ni pamoja na;

  1. Kupunguza gharama za kufanya biashara katika nchi wanachama na hivyo kuhamasisha ukuaji wa biashara kati ya nchi wanachama na ukuaji wa uchumi kwa ujumla.
  2. Kwa kuwa na sarafu moja, umoja wa fedha utaepusha athari za ubadilishaji wa fedha ndani ya jumuiya.
  3. Kuwezesha nchi wanachama kuwa na kiwango kidogo na tulivu cha mfumuko wa bei.
  4. Kuwezesha nchi wanachama kuwa na viwango vidogo vya riba vya kukopa.
  5. Kutumia sarafu moja kutaleta uwazi katika bei na hivyo kuongeza ushindani wa soko ndani ya jumuiya.

 

Tags: Afrika Masharikibiasharafedhauchumi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Mkopo wa mabilioni wanukia

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

September 26, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

by Pesatu Reporter
September 26, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In