• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Faida ya sarafu moja Afrika Mashariki

Patricia Richard by Patricia Richard
July 18, 2018
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Imeshuhudiwa nchi wanachama wa jumuiya mbalimbali ikiwemo Ulaya wakichukua hatua kadhaa katika kuimarisha uchumi wa nchi mwanachama kwa kuanzisha sarafu moja yenye kutumika katika nchi zote mwanachama wa umuiya hiyo.

Moja ya sarafu zilizofanikiwa katika jumuiya mbalimbali duniani ni pamoja na sarafu ya Euro ambayo imekuwa ikitumika bara la Ulaya katika nchi mwanachama ili kuhakikisha lengo la kukuza uchumi kwa wanachama kupitia shughui za kibiashara, uwekezaji na uchukuzi zinafanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Hivi sasa kuna mchakato wa kuanzisha sarafu moja kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Mchakato wa kuanzisha umoja wa fedha unaolenga kuanzishwa kwa sarafu moja kwa nchi za wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ulianza  Januari 2011 wakati majadiliano kati ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ya kuandaa itifaki ya kuanzisha umoja wa fedha yalipoanza rasmi. Majadiliano hayo yalikamilika mwezi Julai 2013 na itifaki ya kuanzisha umoja wa fedha kupitishwa na Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki Novemba 2013 katika mkutano wa 15 wa wakuu hao uliofanyika jijini Kampala.

Ili kutimiza dhumuni kuu la umoja wa fedha la kujenga ukanda tulivu wa kifedha utakaorahisisha na kusaidia ukuaji wa biashara. Hata hivyo mchakato huu wa kuanzisha sarafu moja unatarajiwa kuanzishwa mara baada ya itifaki hiyo kuridhiwa na mabunge ya nchi wanachama wa jumuiya.

ADVERTISEMENT

Faida itakayopata Tanzania kutokana na umoja wa fedha na hasa kuwepo kwa sarafu moja ya jumuiya ya Afrika Mashariki ni pamoja na;

  1. Kupunguza gharama za kufanya biashara katika nchi wanachama na hivyo kuhamasisha ukuaji wa biashara kati ya nchi wanachama na ukuaji wa uchumi kwa ujumla.
  2. Kwa kuwa na sarafu moja, umoja wa fedha utaepusha athari za ubadilishaji wa fedha ndani ya jumuiya.
  3. Kuwezesha nchi wanachama kuwa na kiwango kidogo na tulivu cha mfumuko wa bei.
  4. Kuwezesha nchi wanachama kuwa na viwango vidogo vya riba vya kukopa.
  5. Kutumia sarafu moja kutaleta uwazi katika bei na hivyo kuongeza ushindani wa soko ndani ya jumuiya.

 

Tags: Afrika Masharikibiasharafedhauchumi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Mkopo wa mabilioni wanukia

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In