• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Bilioni 52 zakusanywa Iringa

Mkoa huo umekusanya bilioni 52.888, sawa na 87% kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Leah Nyudike by Leah Nyudike
May 17, 2019
in FEDHA
0
Matajiri wanatumiaje pesa zao?
Share on FacebookShare on Twitter

Ofisa Mwandamizi huduma na elimu kwa mlipa kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Iringa Barnabas Masika amesema mkoa huo umefanikiwa kukusanya Sh. bilioni 52.888 ambazo ni sawa na asilimia 87 kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Masika amesema kuwa mkoa huo ulikuwa na malengo ya kukusanya bilioni 60.734 kwa mwaka wa fedha 2017/18, na kwa mwaka wa fedha 2018/19 wamelenga kukusanya mapato ya Sh. bilioni 60.393. Ofisa huyo ameeleza kuwa kuanzia Julai mwaka jana hadi Aprili mwaka huu, wamefanikiwa kukusanya bilioni 48.907 ambayo ni asilimia 99.8.

Pamoja na hayo, Masika ameongeza kuwa wanafanya kila jitihada kuhakikisha wanafikia malengo ya mkoa ikiwa ni pamoja na kuboresha huduma kwa kutoa elimu kuhusu kodi kwa wananchi kwa ujumla, kuendeleza ushirikiano kwa wadau mbalimbali, kufuatilia matumizi ya mashine za kodi za kielektroniki (EFD) na kuongeza wigo wa kodi ikiwa ni pamoja na kutafuta vyanzo vya mapato.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Naibu Mkurugenzi wa rasilimali watu na utawala bora Alice Lukindo amewasisitiza wafanyabiashara kutoa risiti na wateja kuomba risiti pindi wanaponunua bidhaa.

“Ndugu zangu kuna baadhi ya wafanyabiashara hawatoi risiti kwa wateja wao hilo ni kosa la jinai na sisi kama TRA tukimkamata mfanyabiashara kama huyo tutamshughulikia kama sheria inavyotaka na nyinyi wanunuzi pendeni kuchukua risiti kwa sababu ni  haki yenu”. Amesema Naibu huyo.

 

Tags: biasharaEFDIringakodimapatoTRA
Leah Nyudike

Leah Nyudike

Mwandishi

Next Post
Bado una madeni?

Umekosa mtaji? Fanya hivi

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In