• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Maandamao mfumuko wa bei yamtia matatani Kizza Besigye

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
May 23, 2022
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Share on FacebookShare on Twitter

 

Kampala. Mwanasiasa ambae pia amewahi kugombea nafasi ya urais mara nne nchini Uganda Dk. Kizza Besigye amekamatwa na polisi nchini humo.

Besigye amekamatwa baada ya kujaribu kurudisha maandamano yenye jina “Muzuukuke” ikimaanisha “amka” leo Mei 23 asubuhi.

Maandamano hayo yanatokana na kupanda kwa gharama za maisha.

Kabla ya kukamatwa, kiongozi huyo wa upinzani alikuwa akizungumza na vyombo vya habari akielezea mfumuko wa bei nchini humo akisema serikali haijatoa suluhisho la tatizo hilo.

ADVERTISEMENT

Besigye, ameelezea mazungumzo ya Rais Museveni kwa vyombo vya habari Jumapili juu ya hali ya uchumi nchini humo kuwa ni “mazungumzo matupu”.

“Tupo peke yetu, hivyo tunatakiwa kutafuta suluhu ya hili tatizo linalotukabili, Waganda mnatakiwa kuamka,” amesema Besigye.

Wakati akizungumza na vyombo vya habari, polisi walikuwa nje ya geti la nyumba yake na hawakumpa nafasi ya kuondoka.

Mara baada ya kukamatwa kwake, wafuasi wa Besigye wametumia mtandao wa kijamii wa Twitter wakisema polisi wanafanya kazi kama wahalifu na kusisitiza kuwa kukamatwa kwake kutaleta madhara.

“Holding him at home will not solve the economic crisis we face, a crisis started by Mr. Museveni regime. No turning back. Muzuukuke campaign continues,” the Front said in a tweet.

“Kumshikilia nyumbani kwake sio suluhu ya janga la kiuchumi tunalokumbana nalo,” wameandika kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter wakilaumu utawala wa Rais Museveni.

Naibu msemaji wa polisi mji wa Kampala  Luke Owoyesigyire amesema kuwa Besigye hayupo chini ya ulinzi lakini amezuiwa baada ya kuzozana na maofisa wa polisi.

“Hayupo chini ya ulinzi lakini tunafuatilia nyendo zake,” amesema.

 

Chanzo: Nile Post News

 

 

Tags: kampalauchumiUganda
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In