• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TTCL kurahisisha upatikanaji wa masoko

Patricia Richard by Patricia Richard
August 13, 2018
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano la TTCL, Waziri Kindamba amesema shirika hilo linatarajia kuanzisha mfumo ambao utamuwezesha mkulima kutafuta masoko moja kwa moja nje na ndani ya nchi kupitia simu yake ya mkononi ikiwa ni sehemu mojawapo ya utekelezaji wa mkakati wa serikali wa kuwezesha wakulima kutatua changamoto mbalimbali, ikiwemo ya ukosefu wa masoko.

Kindamba amedai wamefikia uamuzi huo kutokana na ushauri waliopata kutoka kwa Rais John Magufuli.

ADVERTISEMENT

“Katika hafla ya kutoa gawio ambalo sisi tulitoa Sh. 1.5 bilioni, Rais aligusia kwa kusema nchini Ethiopia wakulima walio shambani wanaweza kuwasiliana moja kwa moja na masoko yaliyopo duniani. Hiki ndicho tunakifanya. Ushauri wa Rais ni maelekezo kwetu”. Ameeleza Kindamba.

Mkurugenzi huyo amefafanua kuwa, mfumo huo utamsaidia mkulima kuona masoko na bei ya mazao na kisha kufanya ulinganifu na kuchukua uamuzi sahihi.

“Itamsaidia mkulima kufanya uamuzi sahihi ni wapi auze na katika muda gani. Wakati mwingine utakuta wakulima wanashindwa kuuza kwa kutokana na kutokuwa na taarifa sahihi,” Amesema Kindamba.

Mkurugenzi huyo pia ameweka wazi kuwa TTCL inafanya kazi kwa karibu na wizara yenye dhamana na kilimo na kuongeza kuwa, mfumo huo unatarajiwa kuleta manufaa makubwa sio tu kwa wakulima bali kwa taifa zima kwa ujumla kwani wakulima watapata nafasi ya kuuza mazao yao kwa thamani halisi na kuondokana na ukandamizaji wa watu wa kati.

Tags: MasokoSimu ya Mkononittclwakulima
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Vijana kutengewa maeneo ya uzalishaji.

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In