• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima kususia serikali Lindi

Patricia Richard by Patricia Richard
March 23, 2018
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

 

Na Mwandishi wetu

Wakulima katika kata ya Ngongowele wilaya ya Liwale mkoani Lindi wametishia kususia shughuli zote za kimaendeleo mkoani hapo baada ya serikali kushindwa kukamilisha ujenzi mradi wa umwagiliaji kwa zaidi ya miaka minne.

ADVERTISEMENT

Tangu kuzinduliwa na Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda mwaka 2009, ujenzi huo umetumia takribani bilioni 1.03 kati ya bilioni 2.3 zilizotengwa kuukamilisha lakini mpaka hivi sasa mradi bado haujamalizika.

Mradi huo uliyokuwa umepangwa kufanyika katika awamu tatu umetumia karibu Sh.316,942,890 milioni katika hatua ya kwanza pekee ambapo serikali kupitia Mfuko wa Taifa wa Kuendeleza Umwagiliaji (NIDF) ilitoa fedha hizo. Awamu ya pili ambayo ilihusisha ujenzi wa mfereji ulifanyika mwaka 2010 uligharimu kiasi cha Sh. 346,131,268 huku awamu ya tatu ikitumia Sh.374,329,200 milioni

Utata kati ya wakulima na serikali ulianza pale ambapo fedha zilihamishwa ili kufanya mradi tofauti na ujenzi huo na kupelekea wakulima kuchukizwa na kuhoji kwanini maamuzi hayo yalifanywa bila wao kupewa taarifa.

Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) lilitegemewa kukupesha fedha ili kuendeleza awamu ya nne ya ujenzi huu na pia kuendeleza miradi midogo midogo ya umwagiliaji. Mpaka hivi leo, mradi huu wa  Liwale ambao umeunganisha vijiji vya Ngongolewe na Mikuyu unahitaji jumla ya Sh.1.2 bilioni.

Bi. Zuwena Malibishe, mkulima wilayani Liwale ambaye pia ni mnufaika wa moja kwa moja wa mradi huu ameshauri Wizara ya Kilimo na Umwagiliaji kuangalia mradi huu wa umakini zaidi ili uweze kuendelea na kukamilika ndani ya mwaka huu wa fedha.

Wakulima wengine kijijini hapo wameongeza kuwa hofu yao kubwa ni watu wachache kujinufaisha katika kipindi hiki ambapo mradi umesimama. Baadhi ya wasimamizi wasitumie nafasi hii kama mbinu ya kufuja fedha zilizotengwa kwa ajili ya mradi huu kwa matumizi yao wenyewe. Na pia wanataka waratibu wa mradi huo kutoa ufafanuzi kwanini fedha za mradi huo zimepelekwa kufanya mradi mwingine.

Mkuu wa wilaya ya Liwale Bi. Sarah Chiwamba amedhibitisha kuwepo kwa utofauti baina ya wananchi na serikali. Ameahidi kutoa ushirikiano kwa Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wilayani hapo na punde fedha zitakapopatikana, ujenzi huu utaendelea.

Kuhusiana na miradi mingine ya umwagiliaji iliyokwama kote nchini, Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Gerson Lwenge amesema katika mwaka wa fedha 2017/2018 serikali haijatenga fedha za kumalizia miradi hiyo,lakini wizara yake itakuwa bega kwa bega na wadau mbalimbali wa maendeleo kuhakikisha wanatafuta fedha za kukamilisha miradi hii muhimu.

Tags: lindimizengo pindamradiserikaliumwagiliajivijijiwakulima
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Wakulima wakumbushwa umuhimu wa vikundi

Wanawake waomba serikali kuongeza bajeti ya kilimo

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In