• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, October 2, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima wa korosho Tunduru walamba milioni 550/=

“TADB imefanya utaratibu mzuri kuhakikisha kila mkulima anapata fedha yake kulingana na mzigo wake"

Patricia Richard by Patricia Richard
November 23, 2018
in KILIMO
0
Korosho ni mapatano-Manyanya
Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) imenunua tani 160 za korosho zilizo na thamani ya Sh. 550 milioni kutoka kwa wakulima wilayani Tunduru mkoani Ruvuma ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli la kutaka serikali inunue korosho hizo kufuatia hali ya kusuasua iliyokuwepo kwa wanunuzi. Fedha hizo zimetolewa kwa wakulima 534 wilayani humo ikiwa ni sehemu ya malipo ya korosho kwa msimu wa mwaka huu ambapo malori ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) tayari yameanza zoezi la kuchukua korosho hizo kwa ajili ya kubangua.

Mkuu wa wilaya hiyo Juma Homera amesema jumla ya magari kumi ya jeshi tayari yamewasili katika eneo hilo kwa ajili ya kubeba korosho zilizonunuliwa na serikali kupitia benki ya kilimo.

“TADB imefanya utaratibu mzuri kuhakikisha kila mkulima anapata fedha yake kulingana na mzigo wake na bei ya korosho iliyopangwa ya Sh. 3,300 kwa kilo, tunashukuru zoezi hili limekwisha salama na sasa tunapakia”. Amesema Homera.

ADVERTISEMENT

Homera ameongeza kuwa wakulima wa zao hilo wilayani humo walionyesha kukata tamaa kufuatia kukosa wanunuzi kwa bei ya kuanzia Sh. 3,000 na kwamba, hatua iliyochukuliwa na serikali imewapa matumaini ya kuendelea na kilimo hicho.

“Wakulima kuwapo katika vyama vya ushirika imesaidia kuwa na msimamo na kuondoa adha ya wakulima kuuza korosho holela kwa walanguzi kwa kukosa fedha za kujikimu baada ya kukosa soko la mazao yao”. Ameeleza Homera.

Tags: fedhakoroshoMagufulisokoTADBTunduru
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
V

Dodoma, Arusha vinara ukusanyaji mapato

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

September 26, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

by Pesatu Reporter
September 26, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In