• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima wa korosho Tunduru walamba milioni 550/=

“TADB imefanya utaratibu mzuri kuhakikisha kila mkulima anapata fedha yake kulingana na mzigo wake"

Patricia Richard by Patricia Richard
November 23, 2018
in KILIMO
0
Korosho ni mapatano-Manyanya
Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) imenunua tani 160 za korosho zilizo na thamani ya Sh. 550 milioni kutoka kwa wakulima wilayani Tunduru mkoani Ruvuma ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli la kutaka serikali inunue korosho hizo kufuatia hali ya kusuasua iliyokuwepo kwa wanunuzi. Fedha hizo zimetolewa kwa wakulima 534 wilayani humo ikiwa ni sehemu ya malipo ya korosho kwa msimu wa mwaka huu ambapo malori ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) tayari yameanza zoezi la kuchukua korosho hizo kwa ajili ya kubangua.

Mkuu wa wilaya hiyo Juma Homera amesema jumla ya magari kumi ya jeshi tayari yamewasili katika eneo hilo kwa ajili ya kubeba korosho zilizonunuliwa na serikali kupitia benki ya kilimo.

ADVERTISEMENT

“TADB imefanya utaratibu mzuri kuhakikisha kila mkulima anapata fedha yake kulingana na mzigo wake na bei ya korosho iliyopangwa ya Sh. 3,300 kwa kilo, tunashukuru zoezi hili limekwisha salama na sasa tunapakia”. Amesema Homera.

Homera ameongeza kuwa wakulima wa zao hilo wilayani humo walionyesha kukata tamaa kufuatia kukosa wanunuzi kwa bei ya kuanzia Sh. 3,000 na kwamba, hatua iliyochukuliwa na serikali imewapa matumaini ya kuendelea na kilimo hicho.

“Wakulima kuwapo katika vyama vya ushirika imesaidia kuwa na msimamo na kuondoa adha ya wakulima kuuza korosho holela kwa walanguzi kwa kukosa fedha za kujikimu baada ya kukosa soko la mazao yao”. Ameeleza Homera.

Tags: fedhakoroshoMagufulisokoTADBTunduru
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
V

Dodoma, Arusha vinara ukusanyaji mapato

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In