• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mkonge wawakuna wakulima Tanga

Ni kufuatiwa kusainiwa kwa mkataba mpya baina ya wakulima wa zao hilo na kampuni ya Katani Ltd.

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
January 7, 2019
in BIASHARA, KILIMO BIASHARA, Uncategorized
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mkataba mpya uliosainiwa baina ya wakulima wa katani wilayani korogwe na kampuni ya katani ltd umewafurahisha wakulima kufuatia kuwa na maslahi na kuwapa mwanga na mafanikio katika maisha yao.

Mkataba huo uliosainiwa desemba mwaka jana baina ya wakulima hao zaidi ya 200 wenye mashamba matano na kampuni hiyo umewaruhusu wakulima kuuza mazao yao kwa mkulima yeyote mwenye maslahi kwao tofauti na mkataba wa awali ambao wangeuza kwa mfanyabiashara mmoja pekee jambo ambalo liliwanyima fursa ya kuwa na soko pana na lenye tija kwao.

Mmoja wa wakulima na mweyekiti wa shamba la magunga Eliamini Mrutu alisema mkataba mpya utawawezesha wakulima kunufaika na kilimo tofauti na wa awali uliokuwa ukiwabana na kuwanyima fursa ya kuuza kwa faida zaidi.

ADVERTISEMENT

Licha ya kushuhudia utiaji saini wa mkataba huo,mkuu wa mkoa wa tanga Martin Shigela alibainisha kwamba mkataba wa awali ulikua umepitwa na wakati na kuwa chanzo cha migogoro hivyo aliwasihi wakulima kulima kwa wingi huku akiwakaribisha wafanyabiashara wengine kujitokeza kununua mkonge ili kuleta ushindani wa kibiashara.

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya katani Ltd Juma Shamte alisema lengo la kufikia hatua hiyo ni kujali maslahi ya wote baina ya kampuni na wakulima.

Katani ni moja ya mazao ya biashara yanayolimwa nchini Tanzania hasa mkoani tanga ambapo kuna mashamba tofauti tofauti kama Magoma,Mgombezi,Hale,Mwelya na Magunga.

Tags: biasharaKatanikilimoKorogwemashambaMkatabaTangauwekezaji
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Cosmas Sasi,Meneja data na utekelezaji NSSF akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusu utekelezaji wa malipo kwa wafanyakazi waliositishiwa ajira jijini Dar es salaam na kulia ni Meneja kiongozi wa uhusiano na elimu kwa umma Lulu Mengele.Picha na Michuzi Blog

NSSF kuanza kulipa waliokosa ajira

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In