• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Jinsi ya Kujiokoa ajali ya moto kwenye Gari

Ni muhimu kutafuta wataalamu ili kupata elimu na kujifunza udhibiti wa moto

Abdul Kassim by Abdul Kassim
October 22, 2020
in Elimu, MIUNDOMBINU
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mara nyingi moto unaotokea katika magari huwa unaweza kuzuiwa ikiwa dereva anaendesha gari kwa usalama na kufanya matengenezo ya gari ya mara kwa mara ili kufanya marekebisho yanayohitajika. Mbali na kufanya hivyo, ni muhimu kujua nini cha kufanya na kutofanya ikiwa moto unawaka katika gari yako au gari uliyopanda ili kuzuia majeraha makubwa na kuokoa maisha.

Mambo ya kufanya

ADVERTISEMENT
  • Jambo la kwanza na la muhimu kabisa kufanya ikiwa moto unawaka katika gari ni kuwa mtulivu, na onyesha ishara kwa magari yaliyopo nyuma yako kuwa unataka kutoka barabarani.
  • Hata kama huoni moto wala moshi, kama unasikia harufu ya kitu kinaungua ni muhimu kusimamisha na kuzima gari kisha kutoka nje ya gari haraka iwezekanavyo.
  • Kama uko katikati ya barabara kwa mfano kwenye foleni na haiwezekani kupaki gari pembeni, basi simama, washa ishara ya hatari (Hazard), zima gari, toka nje ya kwa uangalifu. Kuhusu magari mengine ni dhahiri kuwa baada ya kuona gari yako inatoa moshi au kuwaka moto wataondoka eneo la tukio na kwenda sehemu yenye usalama zaidi, ikiwa kuna watu karibu basi watahadharishe kuondoka eneo la tukio mara moja kwa ajili ya usalama wao.
  • Unachotakiwa kujali zaidi ni usalama wa maisha yako na si vitu vya thamani kwa sababu wakati unazingatia kutoa vitu hivyo gari linaweza kulipuka. Hivyo acha vitu katika gari na nenda sehemu salama.
  • Baada ya kuhakikisha uko mbali na gari linalowaka moto, piga simu Zimamoto kwa msaada zaidi. Kwa Tanzania namba ya simu ni 114.

Mambo ya kuepuka

  • Jambo la kwanza unalotakiwa kuepuka ni uoga. Hivyo usiogope, kwa sababu kwa kufanya hivyo unaweza kufikia maamuzi yasiyo sahihi ambayo yatapelekea kuhatarisha maisha yako.
  • Mali zipo na zinatafutwa, hivyo epuka kuzingatia zaidi kuokoa mali zilizopo katika gari. Jambo la muhimu kwa wakati huo ni maisha yako.
  • Usijipe moyo kuwa moto umeisha ikiwa ghafla hakuna moshi wala moto unaoonekana. Pia ikiwa moshi unatoka katika boneti ya gari, epuka kufungua boneti hiyo kwa sababu hewa yoyote itakayopita baada ya kufungua boneti na kufikia injini inaweza kusababisha gari kulipuka papo hapo.
  • Epuka kutumia maji kuzima moto kwani maji huchochea moto kutokana na uwepo wa oxygen.
  • Usikae karibu na gari baada ya kutoka nje, kwani gari linaweza kulipuka.
  • Usiendeshe gari kwa kasi ukifikiri kuwa upepo utazima moto mdogo. Kadri upepo unavyoongezeka ndivyo moto nao unavyoongezeka.

Mwisho wa siku ni muhimu kuwa na kifaa cha kuzimia moto kila mahali ikiwa ni pamoja na kwenye gari, ofisini, nyumbani, sehemu za biashara nk ili kuepuka madhara ambayo yanaweza kutokea kutokana na ukosefu wa vifaa sahihi vya kuziia moto. Aidha kama una kifaa cha kuzimia moto ni vyema kukifanyia huduma kila inapohitajika ili kuhakikisha kipo tayari pale moto unapotokea. Pia si vibaya kuwatafuta wataalamu ili kupata elimu na kujifunza udhibiti wa moto wa aina mbalimbali.

Abdul Kassim

Abdul Kassim

Next Post

Benki zifanye hivi kuwateka vijana

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In