• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mvua zinavyokwamisha shughuli za kiuchumi

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Share on FacebookShare on Twitter

Misimu ya mvua hapa nchini huwa furaha kwa baadhi huku ikiwa ni changamoto kwa watu wengine. Wakulima wengi hufanya kilimo chao kwa kutegemea mvua hivyo huona kama neema pale mvua inaponyesha. Wakati huo huo, hali sio ya furaha sana kwa baadhi ya makundi ya watu kwani inamaanisha shughuli zao za kiuchumi zinakwama.

Swali la muhimu kujiuliza hapa ni kwanini miundombinu yetu haistahimili mvua? Kwanini mvua irudishe nyuma maendeleo ya baadhi ya watu? Hapa nchini hasa katika jiji la Dar es salaam watu wengi hulazimika kusitisha shughuli zao wakati wa mvua kutokana na mazingira kutokuwa rafiki kwao.

ADVERTISEMENT

Misimu ya mvua kwa jiji la Dar es salaam inamaanisha uwepo wa foleni kubwa barabarani hali inayopelekea watu kupoteza muda mwingi katika foleni badala ya kuwa katika maeneo yao ya kazi. Mbali na uwepo wa foleni gharama za usafiri hasa bodaboda zinakuwa juu hivyo inabidi kuingia gharama kubwa kipindi chote cha mvua ukiwa unatoka nyumbani kuelekea katika eneo lako la kazi.

Mbali na kuwa na miundombinu mibovu ambayo husababisha foleni na kero kubwa kwa wananchi wakati wa mvua, pia baadhi ya wafanyabiashara hasa wadogo hupata wakati mgumu kufanya shughuli zao za kimaendeleo. Wamachinga wanaouza bidhaa zao mitaani wanakosa pa kuweka bidhaa zao na hivyo wanashindwa kujiingizia kipato. Pia wanaofanya biashara ya matunda na mbogamboga ambao hulazimika kutembea kutoka sehemu moja kwenda nyingine wanapata wakati mgumu kufanya shughuli zao kutokana na kwamba hawana sehemu rasmi ya kuuzia bidhaa walizonazo.

Kwa wafanyabiashara wadogo walio wengi misimu ya mvua sio muda mzuri kwao kibiashara kwani faida wanayopata ni ndogo kulinganisha na wakati wa kiangazi. Japokuwa kuna maeneo maalum ambayo yametengwa na serikali kwa wafanyabiashara kufanya shughuli zao kama vile Machinga Complex, wengi wamekuwa wakilalamikia kodi pamoja na tozo nyingine kuwa juu hivyo hufanya biashara zao barabarani.

Mbali na misimu ya mvua kuwa kikwazo kwa baadhi ya watu kibiashara, mvua pia huja na changamoto nyingine kama magonjwa ya milipuko kutokana na mipangilio mibovu ya jiji. Sehemu nyingi mifereji hushindwa kupitisha maji ya mvua kama inavyotakiwa hivyo kusababisha maji kutwama na wananchi kuwa katika hatari ya kupata magonjwa kama kipindupindu na Malaria na hivyo kushindwa kuendelea na shughuli zao za kiuchumi kama kawaida.

Ni kweli kuwa serikali inayo jukumu la kuhakikisha kuwa wananchi wake wanaishi katika mazingira salama yasiyo hatarishi na kuna umuhimu mkubwa wa kuboresha miundombinu ya barabara, mifereji na madaraja ili yasiwe kero pindi mvua zinapoanza lakini wananchi nao wanatakiwa kutumia busara na kutumia miundombinu hiyo kistaarabu na katika njia ambayo sio haribifu kwani ni wao wenyewe wanaoishia kupata madhara kama miundombinu hii ikishindwa kufanya kazi kama inavyotakiwa.

Tags: barabarabiasharamvuawakulima
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Watumishi wa umma wapewa shavu China

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In