• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TANESCO yakusanya mabilioni Arusha

“Shirika letu limejipanga kuhakikisha wateja wanafikiwa na umeme kwa gharama nafuu kwa kila atakayelipia atafungiwa umeme bila kuchelewa tena kwa wakati na tumejipanga kuondoa kero ambazo wateja wamekuwa wakikumbana nazo”.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 8, 2018
in NISHATI
0
TANESCO yafuta riba
Share on FacebookShare on Twitter

Meneja wa Shirika la umeme (TANESCO) mkoani Arusha Mhandisi Herinia waandishi wa habari kuwa, shirika hilo linakusanya takribani Sh. 9.7 bilioni kwa mwezi na kuongeza kuwa wamejipanga kuhakikisha wanaongeza zaidi wigo wa ukusanyaji mapato. Mhandisi Mhina amesema japokuwa kuna changamoto mbalimbali wanazopitia, shirika hilo limejipanga kutoa huduma bora ya umeme wa uhakika kwa wananchi Meneja huto ameeleza kuwa TANESCO inaendelea na mchakato wa kuwafikia na kuwaunganisha wateja na huduma za umeme huku wakiwa wamejipanga kuhakikisha kila anayehitaji huduma hiyo anafikiwa pasipo vikwazo.

 

“Shirika letu limejipanga kuhakikisha wateja wanafikiwa na umeme kwa gharama nafuu kwa kila atakayelipia atafungiwa umeme bila kuchelewa tena kwa wakati na tumejipanga kuondoa kero ambazo wateja wamekuwa wakikumbana nazo”. Amesema Mhandisi Mhina.

ADVERTISEMENT

 

Vilevile, Meneja huyo ameeleza kuwa hadi sasa, TANESCO imefanikiwa kuwaunganishia umeme wateja 142.310 mkoani humo na wanaendelea kusogeza huduma ya umeme hadi vijijini kupitia mradi wa umeme vijijini awamu ya tatu (REA III).

 

“Nawasihi wale wote wanaohitaji kupata huduma ya umeme wafike ofisi za shirika na kuacha kukutana na vishoka ambao wamekuwa ni kikwazo kikubwa cha kuongeza wateja na kuzidi kwa vitendo vya wizi wa umeme kwa wananchi”. Amesisitiza Mhandisi huyo.

Tags: ArushamapatoREA IIITANESCOumeme
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mfumuko wa bei wafikia 3.1%

Mfumuko wa bei wapungua

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In