• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Viwanda visivyoendelezwa kurudi serikalini

Serikali haitasita kuwanyang'anya viwanda wawekezaji ambao wameshindwa kuviendeleza na badala yake kuvigeuza kuwa magofu.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 26, 2018
in VIWANDA
0
Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Stella Manyanya.

Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Stella Manyanya.

Share on FacebookShare on Twitter

Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Stella Manyanya amesema serikali haitasita kuwanyang’anya viwanda wawekezaji ambao wameshindwa kuviendeleza viwanda hivyo na badala yake kuvigeuza kuwa magofu, jambo ambalo amedai linarudisha nyuma harakati za uchumi wa viwanda. Naibu Waziri Manyanya amesema hayo wakati akifungua maonyesho ya wajasiriamali kanda ya kaskazini yaliyoandaliwa na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO).

Mhandisi Manyanya amefafanua kuwa sio sawa wawekezaji hao kupewa viwanda halafu wanashindwa kuviendeleza, huku wakiacha mzigo wa madeni unaolipwa na serikali pekee kwani viwanda vingine vimejengwa mikopo. Naibu huyo ameeleza kuwa lengo la serikali ni kutoa fursa ya ajira na kulipa madeni lakini hali imekuwa tofauti kwa sababu baadhi ya wawekezaji wameshindwa kuviendeleza viwanda hivyo.

“Safari hii hatutakuwa na majadiliano. tunawapokonya viwanda hivyo kwa aibu kama umeshindwa kuendeleza ni heri uvirudishe serikalini kimya kimya lakini ukisubiri tutakichukua kwa aibu. Ukiona ulichukuwa kiwanda kwa hila halafu huna mtaji wa kukiendeleza rejesha ili serikali iweze kuona namna bora ya kuendesha kiwanda hicho na kusaidia watanzania kupata ajira”. Amesema Manyanya.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa SIDO, Joyce Meru, amesema katika kutekeleza sera ya viwanda, hado sasa wametengeneza mashine takribani 1,808 zinazosaidia kuongeza thamani bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali. Pamoja na hayo, wametoa mikopo thamani ya Sh. 1.7 bilioni kwa wajasiriamali zaidi ya 2,071 katika kipindi cha mwaka 2017/2018.

ADVERTISEMENT

 

 

Tags: ajiraSidoStella Manyanyawawekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Serikali kuanzisha bima ya mazao

Wanaosambaza mbegu feki waonywa

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In