• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, September 25, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Hakuna maendeleo bila wanawake-Prof. Kabudi

Patricia Richard by Patricia Richard
August 23, 2018
in WANAWAKE NA MAENDELEO
0
Diaspora washauriwa kuitangaza TZ, kutafuta wawekezaji

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi amesema endapo mifumo kandamizi inayowaacha nyuma wanawake itaendelea kuwepo, hakuna maendeleo yanayoweza kufikiwa. Prof. Kabudi amesema hayo wakati akifungua tamasha la wanawake na habari (Women in News Summit) jijini Dar es salaam na kuongeza kuwa, wanawake wanayo nafasi kubwa ya kuleta mabadiliko na kutokana na hilo, serikali inathamini na kutambua mchango wao.

Waziri huyo ameeleza kuwa moja ya mipango ya serikali ni kuwawezesha wanawake hasa katika wakati huu ambapo nchi inaelekea kwenye uchumi wa viwanda na amedai kuwa suala hilo limefafanuliwa vizuri katika Mpango wa Taifa wa Maendeleo 2025.

Mbali na kufanya hivyo, imeelezwa kuwa serikali imefanikiwa kuondoa kodi kwenye taulo za kike na kusaidia upatikanaji wake kuwa nafuu, hivyo kuondoa changamoto ya wanafunzi wa kike kutohudhuria shule kwa kukosa taulo hizo. Vilevile, serikali imeandaa utaratibu utakaoruhusu wanawake kupata mikopo kwa kubadili sheria ambazo hapo awali zilikuwa kikwazo kwao.

ADVERTISEMENT

Prof. Kabudi amesisitiza kuwa endapo vyombo vya habari vitaendelea kuwaonyesha wanawake kama dhaifu na kutowapa nafasi, basi mafanikio yaliyofikiwa yatakosa umuhimu.

“Ili kufikia mafanikio, ni lazima vyombo vya habari viendelee kushirikiana na serikali ili sauti za wanawake zisikike katika muundo unaofaa, usiowadhalilisha utu wao, bali wanayoyafanya na kuwaonyesha kama mashujaa wa mabadiliko”. Amesema Waziri Kabudi.

Tags: maendeleomikopoProf. Palamagamba KabudisheriaVyombo vya habariwanawake
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Ninayo App: Fursa ya kipekee kwa wakulima

Kero hizi zitatuliwe kuinua kilimo

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In