• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

DCB yaeleza ilivyoepuka hasara

Patricia Richard by Patricia Richard
January 30, 2019
in BENKI
0
DCB yafurahia faida

Mkurugenzi wa Biashara wa DCB, James Ngaluo (wa pili kulia), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa, Mkurugenzi wa Fedha, Zacharia Kapama na Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Mahesahu wa benki hiyo, Deogratius Thadei.

Share on FacebookShare on Twitter

Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Biashara ya DCB, Zacharia Kapama amesema benki hiyo imefanya jitihada kubwa kuhakikisha inatoka kwenye hasara waliyoipata mwaka 2017, ambapo mpaka sasa imetangaza kupata faida ghafi ya Sh. 1.9 bilioni. Faida hiyo imetokana na mapato halisi ya riba kuimarika na uboreshaji wa huduma za mfumo wa kidigitali ambazo zimeongeza idadi ya wateja kutoka maeneo mbalimbali nchini kote.

“Benki imefanya juhudi za makusudi kuhakikisha inatoka kwenye hasara iliyopatikana mwaka 2017 na kurudi kwenye faida baada ya kuchukua hatua kadhaa ikiwemo ya kuongeza kasi ya ukusanyaji madeni. Mikopo ya jumla ya Sh. 65 bilioni imetolewa mwaka 2018 na kati ya fedha hizo Sh. 21 bilioni ilitolewa kwa wajasiriamali wadogo. Tumeongeza uboreshaji wa mifumo ya uendeshaji biashara kupitia mfumo wa kijidigitali na mkazo ukiwekwa katika kuongeza amana za gharama nafuu kupitia bidhaa za amana za kijiditali na usimamizi wa mizania wenye ufanisi”. Amefafanua Kapama.

ADVERTISEMENT

Naye Mkurugenzi wa Biashara wa DCB, James Ngaluko amesema waliongeza kasi ya kiutendaji na kuchangia upunguaji wa gharama za uendeshaji kutoka Sh. 21.2 bilioni mwaka juzi hadi kufikia Sh. 16.9 bilioni mwaka jana.

“Huduma za kidigitali zimekuwa chachu ya kuongeza ufanisi na kupunguza gharama za uendeshaji na gharama za riba, hizi ni kama vile akaunti kidijiti, DCB kibubu digitali na DCB FDR digitali akaunti. Akaunti hizi zinamuwezesha mteja kufungua akaunti na kufanya miamala yote ya kibenki, kutunza pesa na kuwekeza kwa kutumia simu yake ya mkononi”. Ameeleza Mkurugenzi huyo.

Tags: biasharaDCBfedhamapatomikopoRibawajasiriamali
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Makonda atoa maagizo kwa wakuu wa wilaya

Ugawaji vitambulisho umalizike Machi-Makonda

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In