• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wanahisa Azania mambo shwari

Patricia Richard by Patricia Richard
September 25, 2018
in BENKI
0
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Azania,Charles Itembe.

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Azania,Charles Itembe.

Share on FacebookShare on Twitter

Wanahisa kutoka Benki ya Azania wameelezwa kufurahia ufanisi, mwenendo na mafanikio ya benki hiyo japokuwa sekta ya benki hapa nchini ilikumbwa na mtikisiko. Wanahisa hao wamedai kuridhishwa zaidi na jinsi benki hiyo ilivyofanikiwa kukabiliana na changamoto ya mikopo isiyolipika. Wakitoa maoni yao kwenye mkutano mkuu wa benki hiyo jijini Dar es salaam, wanahisa hao wamesema benki ya Azania imepiga hatua katika sekta kadhaa zikiwemo kukidhi matakwa ya Sheria za kibenki, ongezeko la rasilimali pamoja na kufanikiwa kukwepa changamoto ya mikopo isiyolipika.

“Kwa mujibu wa ripoti hii, ongezeko la rasilimali ni asilimia 15 na zaidi kinachovutia ni kuona kwamba benki yetu imejitahidi sana kukabiliana na tatizo la mikopo isiyolipika kwa kuwa asilimia nane tu ya mikopo, na wito wangu kwa uongozi wa benki ya Azania ni kuhakikisha asilimia hizi zinashuka hadi kufikia chini ya asilimia 6”. Amesema mwanahisa mmoja.

ADVERTISEMENT

Katika taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo Charles Itembe, imeelezwa kuwa ufanisi wa Azania umeonekana zaidi mwaka huu baada ya kutoa gawio la Sh. 633 milioni kwa wanahisa, ikiwa ni mara ya kwanza tangu benki hiyo kuanzishwa mwaka 1995. Aidha, mafanikio katika utendaji yamewezesha benki hiyo kupata faida baada ya kodi ya Sh. 1.81 bilioni.

Akizungumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Makamu Mwenyekiti Eliudi Sanga amesema mafanikio ya benki hiyo kwa kiasi kikubwa yametokana na mabadiliko yaliyofanywa mwaka 2017 ambapo masuala mbalimbali yalibadilishwa.

Tags: AzaniafedhaGawiomikopoWanahisa
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba akizungumza katika mkutano wa wadau wa mafuta na gesi.

Makamba atoa neno mkutano wa mafuta,gesi

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In