• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wajasiriamali Singida kusafirisha asali nje

Patricia Richard by Patricia Richard
March 23, 2018
in BIASHARA, BIASHARA NDOGO NDOGO
0
Share on FacebookShare on Twitter

 

Na Mwandishi wetu

Kundi la vijana wajasiriamali kutoka Singida wanategemea kuanza kusafirisha asali kwenda nchi za Ulaya na Ujerumani. Singida Youth Enterpreneurs and Consultants Cooperative Society (SYECCOS) wamekua katika mazungumzo na wateja kutoka nchi hizo. Mwezi ujao wawakilishi wa wajasiriamali hawa wanategemea kwenda kwenye kongamano la kimataifa nchini Turkey ambapo ndio wanategemea kufikia makubaliano.

Wateja hao kutoka nchi za Ulaya na Ujerumani wanategemea kuagiza karibu tani 50,000 za asali kila mwaka. Kutokana na uhitaji wa bidhaa hiyo, wajasiriamali hao wanaweza kuongeza kiwango cha mavuno yao. Takwimu za mwaka 2015 zinaonyesha kuwa Wizara ya  Maliasili na Utalii huvuna  tani 34,000 na kusafirisha tani 500 kwa mwaka, wateja wakubwa wakiwa Ulaya,Uarabuni na Marekani.

ADVERTISEMENT

Tangu mwaka 2013 vijana kutoka Singida wamekuwa wakitoa mafunzo na matokeo yanaonyesha kwamba wanunuaji kutoka Ujerumani na Turkey wameridhika na kiwango cha asali kutoka mkoani hapo. Mazungumzo ya kusafirisha asali ya Singida yalianza tangu 2013. SYECCOS pia watanunua asali kutoka kwa wafugaji wengine wa nyuki ili kuwa na uhakika wa kufikia tani 50,000 zitakazosafirishwa.

SYECCOS wamewekeza Sh 1.5 bilioni katika mradi huu. Miaka ya myuma miradi ya asali Tanzania haikufanya vema kutokana na uwekezaji wa chini lakini msemaji wa taasisi hii Bw. Philemon Kiemi amesema kwamba wana uhakika na ubora  ya asali hii kwani imefanyiwa majaribio nchi za nje.Ameongezea kuwa lengo lao kubwa ni kuhakikisha mavuno yanaongezeka kutokana na mahitaji ya soko.

 

Tags: asalinyukisingidaSYECCOSusafirishajiwajasiriamali
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Taasisi  ya Bill Gates yatoa bilioni 777 Tanzania

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In