• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Taasisi  ya Bill Gates yatoa bilioni 777 Tanzania

Patricia Richard by Patricia Richard
March 22, 2018
in FEDHA
0
Share on FacebookShare on Twitter

 

Na Mwandishi wetu

Tajiri namba mbili duniani Bill Gates ambaye kwa sasa yupo nchini Tanzania amesema kuwa taasisi ya Bill and Melinda Gates imetenga dola za kimarekani milioni 350 ambazo ni sawa na takribani Sh 777 bilioni ili kusaidia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo hapa nchini.

Gates alitoa kauli hiyo Ikulu Dar es salaam alipokuwa na mazungumzo na Rais John Pombe Magufuli. Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa na Waziri wa Kilimo, Ufugaji na Uvuvi Dk. Charles Tizeba na Waziri wa Afya, Jamii na Watoto Mh. Ummy Mwalimu.

Fedha hizo zitaelekezwa zaidi katika sekta ya afya ili kupambana na matatizo ya vifo vya uzazi, malaria, lishe bora na utapiamlo. Sekta nyingine zitakazonufaika ni pamoja na ya kilimo ambayo inategemewa kuboresha uzalishaji wa mazao, upatikanaji wa mbegu bora na kuimarisha shughuli za ufugaji. Kwa kufanya hivyo, upatikanaji wa chakula nchini utakuwa ni wa uhakika.

Rais amemshukuru Bill Gates kwa msaada mkubwa taasisi yake uliyojitolea na kuahidi kuwa zitatumika katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo nchini kote.

Wakati huo huo pia, serikali ya marekani kupitia Balozi wake nchini Dk.. Inmi Patterson itatoa Sh 499 bilioni mwaka ujao kusaidia miradi ya afya, elimu, lishe na utawala bora. Balozi huyo amesema kuwa Marekani ina dhamira ya dhati ya kushirikiana na Tanzania hivyo itasaidia miradi ya maendeleo nchini hapa kutekelezwa.

 

ADVERTISEMENT

 

 

Tags: afyaBill GatesMelinda gatesmsaadatajiri namba mbili
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

“KA-TA” yaingizia TANESCO bilioni 41

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In