• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kahawa yawanoa maafisa ugani

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
December 18, 2018
in KILIMO, KILIMO BIASHARA
0
Mkuu wa wilaya ya Moshi Mh.Kipi Warioba akiotesha mche wa kahawa katika shamba darasa kijiji cha mwasi kusini.Picha na michuzi blog

Mkuu wa wilaya ya Moshi Mh.Kipi Warioba akiotesha mche wa kahawa katika shamba darasa kijiji cha mwasi kusini.Picha na michuzi blog

Share on FacebookShare on Twitter

Maafisa ugani 30 mkoani Kilimanjaro wamepigwa msasa juu ya kilimo bora cha kahawa hasa kuzingatia kanuni za zao hilo ili kuongeza uzalishaji na kukuza pato la wananchi na mkoa kwa jumla.

Mafunzo hayo yalitolewa na shirika la Cafe Africa ambalo limeamua kujikita katika zao hilo kwa kuwa ni moja ya mazao makubwa ya kibiashara yanayoingizi nchi fedha za kigeni huku likiwa ni zao pendwa na serikali kama vile korosho na pamba.

ADVERTISEMENT

Dafrosa sanga ambaye ni meneja uzalishaji wa kampuni ya Cafe Africa amesema lengo la mafunzo hayo ni kutoa elimu kwa vitendo kuanzia kuotesha miti,kuitunza na kuvuna ili maafisa ugani hao waweze kuwasaidia wakulima kuboresha kilimo cha zao la kahawa.

Pia mkuu wa wilaya ya moshi mheshimiwa Kipi Warioba aliwaasa maafisa ugani hao kuacha kujifungia ofisini bali waende shambani kuhakikisha wakulima wanapata elimu ya uzalishaji bora ili kukuza uchumi wa mkoa huo ikizingatiwa bei ya kahawa katika soko la dunia ni nzuri ikilinganishwa na mazao mengine ya biashara.

Mafunzo hayo kwa maafisa hao ugani yalitolewa kwa ushirikiano wa jukwaa la wadau wa kahawa (ANSAF) na shirika la Cafe Africa lengo likiwa ni kuongeza uzalishaji wa zao hilo ili kukuza uchumi wa mkoa na nchi kwa ujumla.

Tags: biasharakahwakilimanjarokilimomafunzoMaofisa Uganiufundi
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa mlipa kodi wa mamlaka ya mapato Tanzania Richard Kayombo

TRA yawabana wafanyabiashara mitandaoni

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In