• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Ukosefu wa mitaji, riba kubwa kikwazo kwa wakulima wadogo

Kilimo cha mbogamboga

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
July 15, 2021
in KILIMO, KILIMO BIASHARA
0
Mtaalamu wa kilimo wa TAHA, mikoa ya Pwani na Dar es Salaam Isack Kibipi

Mtaalamu wa kilimo wa TAHA, mikoa ya Pwani na Dar es Salaam Isack Kibipi

Share on FacebookShare on Twitter

Ukosefu wa upatikanaji wa mitaji na riba kubwa zinazotozwa na taasisi za kifedha umetajwa kuwa sababu kubwa inayowakwamisha wakulima wadogo  kufanya kilimo cha kisasa Tanzania.

Loveness Adolf, ni Afisa Uhusiano wa asasi ya kilele ya sekta binafsi ijulikanayo kwa jina la TAHA ambayo inatetea ukuaji na ushindani wa kilimo cha mbogamboga nchini amesema hali hiyo inapelekea wakulima wengi kushindwa kuzalisha kwa viwango vinavyohitajika kwenye soko.

Adolf amebainisha hayo katika Maonyesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa  jijini Dar es Salaam (sabasaba).

“Mahitaji ya mazao sokoni ni makubwa, lakini uzalishaji bado ni mdogo na haukithi viwango vya soko, hii ni kutokana na wakulima wengi wadogo kushindwa kulima kisasa kutokana na kukosa mitaji na kumudu gharama za riba.” amesema Adolf.

“Tunashirikiana na serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo katika kutatua changamoto zinazokwamisha maendeleo ya tasnia hii nchini, pia tunaunganisha wakulima na taasisi za kifedha kwa mikopo na misaada ya kifedha ya bei nafuu. lakini bado kuna changamoto katika upatikanaji wa mitaji” amesema.

Amesema TAHA ambayo ilianzishwa mwaka 2004, ina wanachama 43,000 ikijumuisha wakulima wakubwa, watoa huduma na wakulima wadogo ambapo wakulima wadogo ni takribani asilimia 60 ya wanachama wote.

Akielezea jinsi ya kuwa mwanachama wa TAHA amesema mkulima apaswa kulima kuanzia robo eka na huku akiwa na chanzo cha kuaminika cha maji kwa ajili ya umwagiliaji.

ADVERTISEMENT

“Mkulima atapatiwa ujuzi wa kulima kisasa, kupewa bwana shamba wa kumuelimisha na kufuatilia kila hatua mpaka mazao yanapovunwa, pia huwa tunawaunganisha wakulima na wanunuzi wa mazao yao.” Amesema

“Tumelenga sana makundi ya wanawak na vijana, lakini kw aupande wa wanawak kuna changamoto katika suala la umilikii wa ardhi hususani mikoa ya kanda ya ziwa” amesema.

Ameeleza kuwa huwa wanawafikia wanachama wao pamoja na wakulima kupia serikali za mitaa ambapo wawakilishi wao hufika huko pamoja na kupitia mikutano mbalimbali na maonyesho.

Ameleza kuwa, tangu kuanzishwa kwake mwaka 2004, TAHA imekuwa jukwaa la kutoa sauti kwa wazalishaji, wafanyabiashara, wauza bidhaa nje na wasindikaji wa mazao ya mbogamboga, matunda, mimea tiba, viungo, mazao yatokanayo na mizizi pamoja na maua.

TAHA inaendesha kazi zake katika amikoa 25 Tanzania Bara na Visiwani. Mikoa hiyo ni pamoja na Arusha, Mwanza, Manyara, Kilimanjaro, Tanga, Dodoma , Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya, Pwani, Dar es Salaam, Lindi, Mtwara, Mara, Simiyu, Shinyanga, Singida, Songwe, Unguja na Pemba.

 

 

Tags: biasharaDar es salaamkilomoTanzaniauchumi
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

China kufungua zaidi soko lake kwa bidhaa za Tanzania

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In