• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

KCB Tanzania yatoa msaada Amana

“Benki ya KCB Tanzania inadhamini uwajibikaji kwa jamii ambayo kwa kiwango kikubwa inalenga maeneo ya vipaumbele vya afya, elimu, mazingira, ujasiriamali na masuala ya ubinadamu”. Amesema Manyenye.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 1, 2018
in BENKI, Uncategorized
0
Mkuu wa Masoko, Mawasililiano na Mahusiano wa Benki ya KCB, Christine Manyenye (kushoto) akimkabidhi Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana, Dkt. Amim Kilomoni moja kati ya vitanda na vifaa vingine vyenye thamani ya Tsh 6,017,00/=  kwa wodi ya wanawake  Hospitali ya Amana, Dar es salaam.

Mkuu wa Masoko, Mawasililiano na Mahusiano wa Benki ya KCB, Christine Manyenye (kushoto) akimkabidhi Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana, Dkt. Amim Kilomoni moja kati ya vitanda na vifaa vingine vyenye thamani ya Tsh 6,017,00/= kwa wodi ya wanawake Hospitali ya Amana, Dar es salaam.

Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya KCB Tanzania imekabidhi msaada wa thamani ya Sh. 6 milioni kwa wodi ya wanawake hospitali ya rufaa ya Amana, Ilala jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika makabidhiano hayo, Mkuu wa Masoko, Mawasiliano na Mahusiano wa KCB Tanzania, Christine Manyenye amesema  kuwa mchango huo ni moja kati ya vipaumbele vya benki katika uwekezaji wa masuala ya kijamii ili kuwasaidia wale walio na uhitaji.

“Benki ya KCB Tanzania inadhamini uwajibikaji kwa jamii ambayo kwa kiwango kikubwa inalenga maeneo ya vipaumbele vya afya, elimu, mazingira, ujasiriamali na masuala ya ubinadamu”. Amesema Manyenye.

ADVERTISEMENT

Manyenye ameeleza kuwa benki ya KCB imetoa misaada mbalimbali ikiwemo vitanda 10 magodoro 10, mashuka 20 vyote vikiwa na thamani ya Sh. 6,017,000 na kuongeza kuwa upungufu wa vitanda, magodoro na mashuka katika hospitali nyingi nchini imekuwa changamoto hasa katika wodi za wakina mama na watoto, hali iliyopelekea benki hiyo kuamua kutoa msaada ili kupunguza changamoto hizo.

Kwa upande wake, Kaimu Mganga Mkuu wa hospitali ya Amana, Dr. Amim Kilomoni ameishukuru benki ya KCB kwa msaada huo na kusema utasaidia kupunguza changamoto zilizokuwa zinawakabili, ikiwemo upungufu wa vitanda, magodoro pamoja na mashuka.

Tags: AmanaChristine ManyenyeKCB Tanzaniauwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi na kibiashara wa benki ya Stanbic, Brian Ndadzungira (kati) akizungumza na wafanyakazi na wateja wa benki hiyo kuhusu huduma mpya ya Uhuru Banking isiyo na ada ya usimamizi leo katika branchi yao ya Center jijini Dar es salaam.

Benki ya Stanbic yazindua Uhuru Banking, isiyo na ada ya usimamizi

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In