• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TRA yagundua njia mpya kukusanya kodi viwandani

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
July 21, 2018
in VIWANDA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mamlaka ya Mapato Tanzania(Tra) imekuja na njia mpya ya kukusanya kodi nchini kwa kuwataka wafanyabishara wanaomiliki viwanda vinavyohusika na utengenezaji wa malighafi za kutengenezea pombe kali kutoa takwimu sahihi na inayoridhisha juu ya ukusanyaji kodi stahiki kupitia vinywaji hivyo.

Hayo yameelezwa na kamishna wa Kodi za ndani wa TRA Elijah Mwandumbya baada ya kutembelea kiwanda cha sukari kinachomilikiwa na Manyara Sugar Company Limited Mkoani Manyara.

Alisema utoaji takwimu huo utaipa TRA uwezo wa kufuatilia kwa ukaribu na kupata taarifa sahihi za kodi ili kuongeza kasi ya ukusanyaji mapato.

ADVERTISEMENT

“Tunafahamu kwamba Molasisi (Malighafi inayotokana na miwa baada ya kutengeneza sukari) ni bidhaa inayotumika kutengenezea pombe kali, hivyo takwimu zitatuwezesha kufuatilia wafanyabiashara wanaonunua bidhaa hiyo na kutengenezea pombe kali ili nasi tukadai kodi yetu na hatimaye ilete tija kwa taifa”. Alisema.

Naye mkuu wa mkoa wa manyara Alexander Mnyeti alisema kuwa mkoa wa Manyara wamejipanga katika kutekeleza mkakati wa kuongeza viwanda vikubwa na vidogo ili kuleta maendeleo kwa mkoa na taifa kwa ujumla, kwani itasaidia kuongeza wigo mpana wa ajira.

“Tunataka kuongeza viwanda vingi katika mkoa wetu ili serikali iweze kupata kodi zaidi na kuongeza mapato kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wetu. Alisema Mnyeti.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Manyara Sugar Company Limited Bwn. Pratap Sisulya alimshukuru Kamishna wa Kodi za ndani kwa kutembelea kiwanda hicho na kuahidi kutoa ushirikiano wa wa kutosha kwa TRA katika kuhakikisha kampuni hiyo inalipa kodi zote kwa muda mwafaka sambamba na kutoa takwimu sahihi za uzalishaji.

“Ni wajibu wetu kutoa takwimu sahihi kwa TRA pamoja na kulipa kodi kwa wakati.” Alisema.

Akielezea tathmini ya ulipaji kodi wa kiwanda hicho Mkurugenzi huyo alisema mwaka 2017/2018, Kampuni imelipa kodi takribani Sh.Bilioni 1 huku kiwanda hicho kikizalisha zaidi ya tani 4000 za sukari kwa mwaka. Aidha alisema kuwa kiwanda hicho kimekuwa kikiajiri wafanyakazi wa muda wapatao 350 hadi 400 kwa siku

Tags: ajirakodimapatosukariviwanda
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post

DC Muheza kuipigania Tanzania ya viwanda.

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In