• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

BoT yamgusa Shein, atoa neno

Patricia Richard by Patricia Richard
August 31, 2018
in BENKI
0
BoT yakagua maduka ya kubadilisha fedha, yatoa tamko
Share on FacebookShare on Twitter

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imepongezwa kwa utendaji bora wa kazi na jitihada zake za kuhakikisha uchumi wa nchi unazidi kustawi kwa manufaa na maslahi ya wananchi. Pongezi hizo zimetolewa na Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ikulu visiwani Zanzibar alipofanya mazungumzo na viongozi wa benki hiyo akiwemo Gavana wake, Prof. Frolens Luoga.

Dkt. Shein Amesema kuwa juhudi kubwa zilizochukuliwa na BoT zimeonyesha nguvu kubwa katika kuunga mkono juhudi za serikali ili kuwaletea wananchi maendeleo na kuwataka viongozi hao kuhakikisha BoT inachukua hatua kadhaa kuhakikisha kunakuwa na mzunguko wa fedha, ili kuwasaidia wananchi na taifa kwa ujumla.

“Uchumi wa Zanzibar na ule wa bara umeimarika , miongoni mwa wanaochangia jambo hilo ni BoT”. Amesema Dk. Shein.

ADVERTISEMENT

Soma Pia Riba mpya za Bot kuanza kutumika leo

Aidha Dk. Shein ameitaka benki kuu kujikita katika kusimamia sekta za uchumi na maendeleo ikiwemo sekta ya utalii visiwani humo ili kuwanufaisha wananchi ambao ni walengwa wakubwa katika uanzishaji wa benki hiyo.

Kwa upande wake, Gavana Luoga amesema matokeo mazuri ya utendaji kazi wa BoT umetokana na kutambua dhamana waliyopewa na wananchi kusimamia benki hiyo ikiwa ni pamoja na kusimamia sera za fedha, kuhakikisha utulivu wa fedha na uchumi usiotetereka, mambo ambayo yamekuwa yakitekelezwa kwa ufanisi mkubwa.

Soma Pia Majukumu ya BoT katika kukuza uchumi

Aidha Prof. Luoga amewatoa hofu wananchi kuwa BoT itaendelea kuhakikisha usimamizi bora wa fedha ili kuhakikisha zinafanya kazi zake kwa ubora kwa ajili ya kuwafikia wananchi, huku akiongeza kuwa moja ya mipango ya benki hiyo ni kujikita zaidi katika kuboresha huduma zake maeneo ya vijijini ili kuwaletea wananchi maendeleo.

 

Tags: BoTfedhamaendeleoTanzaniauchumiutaliizanzibar
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

TRA kuendeleza mradi Kibaha

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In