• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

NMB yazindua huduma ya KLik

Patricia Richard by Patricia Richard
August 15, 2018
in BENKI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Ni jambo ambalo linaonekana kuwa geni miongoni mwa watanzania, lakini ndio uhalisia. Benki ya NMB imezindua huduma mpya itakayomwezesha mteja kufungua akaunti ya benki kwa kutumia simu akiwa mahali popote. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Kitengo cha Uvumbuzi wa Benki ya NMB, Joseph Njambi wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo iliyopewa jina la KLik.

Njambi amesema huduma hiyo imekuja kuleta mapinduzi katika sekta ya benki na kudai kuwa itasaidia kuboresha utoaji wa huduma za kibenki, ikiwa ni pamoja na huduma za malipo.

“Sasa unaweza kufungua akaunti popote ulipo bila kujaza fomu na hakuna malipo wala makato yoyote. Pia huna haja tena ya kwenda kupanga foleni kwenye tawi ili upate huduma”. Amesema Njambi.

Akieleza namna huduma hiyo itakavyokuwa ikifanya kazi, Njambi alisema mteja atatumia namba ya akaunti kwa watumiaji wa simu za smartphone na za kawaida.

“Faida nyingine hakuna kianzio wala makato ya mwezi, baada ya kufungua akaunti utatumia chini ya dakika tatu mteja utapokea faida ya asilimia tano hapo hapo ambayo itakokotolewa kwa mwaka kulingana na kiasi cha fedha” Alisema.

Soma Pia NMB yamwaga mabilioni kwa serikali

Njambi amedai kuwa huduma hiyo itaambatana na programu ya simu ambayo itasaidia watumiaji kufanya malipo ya bili  pamoja na kukokotoa thamani ya fedha. Akizungumzia kuhusu ujio wa huduma ya KLik, Mkurugenzi wa NMB Ineke Bussemaker amesema huduma hiyo imeletwa mahususi ili kuendana na kasi ya ukuaji na maendeleo ya teknolojia ili kurahisisha huduma kwa wateja.

“Idadi ya watumiaji wa simu kwa Tanzania ni wengi na kupitia huduma hii ya KLik tutaweza kuwafikia wengi zaidi hasa maeneo ambayo hayana huduma za benki”. Ameeleza Bussemaker.

ADVERTISEMENT

Soma Pia Ukiukaji wa masharti waiponza NMB

Naye Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Dk. Benard Kibesse akizindua huduma hiyo, ameipongeza benki ya NMB kwa kuanzisha huduma hiyo ya kimtandao na kuongeza kuwa ilikuwa ni moja ya ndoto zake kuona benki za kitanzania zikitoa huduma za kifedha kwa njia ya mtandao.

“Hakika hii ni hatua nzuri na inarandana na mipango ya kiuchumi ya nchi kuongeza matumizi ya kimtandao katika huduma za fedha”. Amesema Dk. Kibesse.

Tags: benkiBoTDk. Benard KibesseKLikNMBTeknolojia
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Indonesia kuwekeza Zanzibar

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In