• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima washauriwa kupima udongo

Patricia Richard by Patricia Richard
September 24, 2018
in KILIMO
0
Miradi 47 kuanza kutekelezwa
Share on FacebookShare on Twitter

Mratibu wa Wabia kutoka Kituo cha kuendeleza kilimo nyanda za juu kusini mwa Tanzania (SAGCOT) Adam Ndaturu ametoa wito kwa wakulima kuwa na utaratibu wa kupima udongo wa mashamba yao kabla ya msimu kuanza ili wafahamu upungufu uliopo na kupatiwa ushauri wa mbolea na mazao wanayoweza kutumia ili kufanya kilimo chenye tija na kuongeza uzalishaji.

Ndaturu amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha zoezi la kutoa elimu kwa vitendo kwa wakulima mkoani Njombe ambapo amesisitiza kuwa ni muhimu kupima udongo kabla ya kutumia mbolea ili kufahamu kiasi halisi cha mbolea kinachotakiwa.

“Wakulima wengi hawana tabia ya kupima udongo ili kujua tatizo lililopo kabla ya kutumia mbolea na wengi wamekuwa wakitumia mbolea kwa mazoea bila kujua tatizo la udongo”. Amefafanua Mratibu huyo.

ADVERTISEMENT

Pamoja na hayo, Ndaturu amedai kuwa SAGCOT inaendelea kufanya kazi kubwa ili kuhakikisha pembejeo zinapatikana kwa wakati an kuongeza kuwa wanaendelea kutoa elimu katika maeneo mengine ya mkoa huo ili kuwafikia wakulima wengi zaidi lengo kuu likiwa ni kuchochea kilimo chenye tija ili taifa lijitosheleze kwa chakula.

“Tayari wataalamu wa kupima udongo wapo mkoani Njombe hivyo ni wakulima kuhimizaba kuwatumia wataalamu hawa wakapima maeneo yao na kupatiwa ushauri. Gharama za kupima shamba ni Sh. 30,000 kwa mkulima mmoja na hupungua zaidi kwa wakulima watakaojiunga katika vikundi”. Ameeleza Mratibu huyo.

 

.

 

Tags: elimuNjombeSAGCOTUdongouzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Dalili 5 wazo lako sio zuri

Sasa itawezekana kukopa umeme

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In