• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wahandisi wazalendo washauriwa kuchangamkia fursa

 “Bandarini kuna fursa ya kazi za ujenzi wa miundombinu katika nyanja zote kama ujenzi wa mitambo, umeme, mafuta, gesi na TEHAMA”

Patricia Richard by Patricia Richard
October 26, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Mhandisi Deusdedit Kakoko.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Mhandisi Deusdedit Kakoko.

Share on FacebookShare on Twitter

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Mhandisi Deusdedit Kakoko ametoa wito kwa wahandisi wazalendo kuchangamkia fursa za uwekezaji katika miradi mbalimbali iliyopo chini ya mamlaka hiyo hapa nchini. Mhandisi Kakoko ametoa ushauri huo wakati wa warsha iliyoandaliwa na Chama cha Wataalamu Washauri wa Wahandisi na kuongeza kuwa hivi sasa ni wakati muafaka kuchangamkia fursa zinazopatikana bandarini. Kakoko amesema japokuwa malengo ya TPA kwenye warsha hiyo ni kuzungumzia uwepo wa miradi mikubwa ya maendeleo, wamechukua nafasi hiyo ili kuendeleza bandari kwa huduma zao kupitia miradi iliyopo na kuwashawishi wachangamkie fursa zilizopo.

“Bandarini kuna fursa ya kazi za ujenzi wa miundombinu katika nyanja zote kama ujenzi wa mitambo, umeme, mafuta, gesi na TEHAMA”. Amedai Mhandisi Kakoko.

Mbali na hayo, Mkurugenzi huyo ameeleza kuwa, changamoto kubwa kwa sasa ni kushindwa kuchukua hatua za makusudi za kuchangamkia fursa kwa makampuni ya ujenzi ya ndani, uwezo mdogo wa wahandisi, idadi ndogo ya wataalamu wenye weledi pamoja na vikundi vya taaluma kutofanya kazi kwa pamoja. Akiwasilisha mkakati mpya wa kuboresha miradi ya miundombinu ya TPA, Mhandisi Kakoko amewashauri wahandisi wazawa kuendeleza mafunzo ya pamoja mara kwa mara.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Mipango ya Miundombinu na Uwekezaji TPA, Mhandisi Allen Banda amedai kuwa miradi mingi imefanikiwa kwa sababu ya uwepo wa wahandisi washauri.

“Nachukua fursa hii kushauri wahandisi washauri wazalendo wale wenye uzoefu kushirikiana na wengine ili kubadilishana uzoefu huo”. Amesema Mhandisi Banda.

Tags: Deusdedit KakokogesiTehamaTPAumemeuwekezajiwahandisi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Huduma za mahala pamoja ziimarishwe-Kairuki

Utoroshwaji madini kudhibitiwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In