• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali kulinda mazalia ya samaki

Patricia Richard by Patricia Richard
September 1, 2018
in UZALISHAJI
0
Ufugaji samaki: Mambo muhimu ya kuzingatia
Share on FacebookShare on Twitter

Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia idara ya Maendeleo ya Uvuvi imeanzisha operesheni mbili zilizopewa majina ya “Sangawe na Jodari” kwa dhumuni la kuwabana na kuwashughulikia wavuvi haramu wanaochangia kuharibu mazalia ya samaki kwenye mito, mabwawa, maziwa pamoja na maeneo ya ukanda wa bahari ya hindi.

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo na Uvuvi Magesa Bulayi amesema hayo wakati akiongea na wakazi wa vijiji na wanufaika wa bwawa la Nyumba ya Mungu linalotumiwa na wakazi wa Kilimanjaro na Manyara

Soma Pia Bwawa la Mtera kulindwa

Mkurugenzi huyo amewaonya wavuvi haramu na kusisitiza kuwa kampeni hizo zinalenga kutokomeza uvuvi haramu, huku akitoa siku saba kwa wavuvi haramu wanaotumia nyavu ndogo na makorokocho kuziwasilisha kwa uongozi wa serikali ya Kijiji.

Akielezea namna wavuvi wanavyokiuka sheria za nchi Bulayi amesema kuwa Sheria ya 22 ya mwaka 2003 inawataka wavuvi kufanya uvuvi unaokubalika kisheria ikiwa ni pamoja na kutumia nyavu kubwa katika kuvulia samaki na kuwataka watendaji walio chini yake kuhakikisha wanafanya doria ya mara kwa mara ili kutokomeza uvuvi haramu.

Soma Pia Wavuvi kukopeshwa

ADVERTISEMENT

Naye Ofisa Uvuvi wilayani Mwanga David Kabodo amedai serikali ya wilaya hiyo imekuwa ikichukua hatua kadhaa kukabiliana na uvuvi haramu ambapo kwa mwaka 2018, wameweza kufanya doria 34 na kufanikiwa kukamata pikipiki 10, ndoo za samaki zipatazo 776 pamoja na kuwafikisha watuhumiwa katika vyombo vya dola ambapo amedai hadi sasa, takribani kesi 53 zimefunguliwa na kati ya hizo, 32 zimemalizwa na watuhumiwa wametakiwa kulipa faini.

 

Tags: samakisheriaUvuvi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe.

Kampuni zisizojitosheleza kifedha kukosa kazi

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In