• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali kulinda mazalia ya samaki

Patricia Richard by Patricia Richard
September 1, 2018
in UZALISHAJI
0
Ufugaji samaki: Mambo muhimu ya kuzingatia
Share on FacebookShare on Twitter

Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia idara ya Maendeleo ya Uvuvi imeanzisha operesheni mbili zilizopewa majina ya “Sangawe na Jodari” kwa dhumuni la kuwabana na kuwashughulikia wavuvi haramu wanaochangia kuharibu mazalia ya samaki kwenye mito, mabwawa, maziwa pamoja na maeneo ya ukanda wa bahari ya hindi.

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo na Uvuvi Magesa Bulayi amesema hayo wakati akiongea na wakazi wa vijiji na wanufaika wa bwawa la Nyumba ya Mungu linalotumiwa na wakazi wa Kilimanjaro na Manyara

ADVERTISEMENT

Soma Pia Bwawa la Mtera kulindwa

Mkurugenzi huyo amewaonya wavuvi haramu na kusisitiza kuwa kampeni hizo zinalenga kutokomeza uvuvi haramu, huku akitoa siku saba kwa wavuvi haramu wanaotumia nyavu ndogo na makorokocho kuziwasilisha kwa uongozi wa serikali ya Kijiji.

Akielezea namna wavuvi wanavyokiuka sheria za nchi Bulayi amesema kuwa Sheria ya 22 ya mwaka 2003 inawataka wavuvi kufanya uvuvi unaokubalika kisheria ikiwa ni pamoja na kutumia nyavu kubwa katika kuvulia samaki na kuwataka watendaji walio chini yake kuhakikisha wanafanya doria ya mara kwa mara ili kutokomeza uvuvi haramu.

Soma Pia Wavuvi kukopeshwa

Naye Ofisa Uvuvi wilayani Mwanga David Kabodo amedai serikali ya wilaya hiyo imekuwa ikichukua hatua kadhaa kukabiliana na uvuvi haramu ambapo kwa mwaka 2018, wameweza kufanya doria 34 na kufanikiwa kukamata pikipiki 10, ndoo za samaki zipatazo 776 pamoja na kuwafikisha watuhumiwa katika vyombo vya dola ambapo amedai hadi sasa, takribani kesi 53 zimefunguliwa na kati ya hizo, 32 zimemalizwa na watuhumiwa wametakiwa kulipa faini.

 

Tags: samakisheriaUvuvi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe.

Kampuni zisizojitosheleza kifedha kukosa kazi

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In