• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Obama aahidi kuitangaza Tanzania

Patricia Richard by Patricia Richard
July 16, 2018
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Rais Mstaafu wa Marekani Barack Obama ameeleza kuridhishwa na vivutio vya utalii katika hifadhi ya taifa ya Serengeti. Waziri wa Mambo ya Nje, Augustine Mahiga alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari baada ya kuzungumza faragha na Rais Obama kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimatifa wa Kilimanjaro (KIA)

Dk. Mahiga amesema Obama ameahidi kuisaidia Tanzania kuvutia wawekezaji katika hifadhi hiyo ambayo yeye pamoja na familia yake wameitembelea.

“Alikuja kutembelea hifadhi ya Serengeti kwa safari binafsi hivyo ni lazima tuheshimu hilo” Alisema

ADVERTISEMENT

Balozi Mahiga pia ameeleza kuwa, Rais Magufuli amempa Obama zawadi ya picha maalum ya tukio la nyumbu wahamao katika hifadhi ya taifa ya Serengeti ambalo ni la kipekee duniani. Naye Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira aliyekuwepo KIA amesema ziara ya Rais Obama na familia yake itatangaza vyema utalii wa hapa nchini.

Kwa upande wake, Meneja Uhusiano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutwete amesema ziara ya Rais huyo wa zamani wa Marekani imetokana na jitihada za uhifadhi na kutangazwa vyema kwa vivutio vilivyopo nchini Tanzania.

Aidha baada ya Rais Obama, imeelezwa kuwa Rais wa Uswisi, Alain Berset na familia yake wapo nchini kutembelea vivutio vya utalii. Waziri Mahiga amesema kiongozi huyo atakuwa nchini kwa siku 10 na kwamba atakuwa Tanzania bara kwa siku tano na kwa siku nyingine tano atakuwa Zanzibar. Kiongozi huyo anatarajia kutembelea hifadhi za taifa za Serengeti na Ngorongoro kabla ya kwenda visiwani Zanzibar.

Tags: Barack ObamaKIASerengetiTANAPAutalii
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Tabora kunufaika na mradi wa maji

Discussion about this post

Habari Mpya

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Rais Samia amesema Serikali imetenga hadi eka 10 kwa kila kijana mwenye sifa za kufanya kilimo nchini Tanzania ili kuiwezesha...

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In