• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima 21,000 kunufaika na mradi wa Umoja wa Ulaya

Shilingi bilioni 14 za Umoja wa Ulaya kunufaisha wakulima Zanzibar

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
December 21, 2020
in KILIMO, KILIMO BIASHARA
0
Iliki ni moja ya mazao yalimwayo Zanzibar. Picha|Mtandao

Iliki ni moja ya mazao yalimwayo Zanzibar. Picha|Mtandao

Share on FacebookShare on Twitter

Takribani wakulima wapatao 21,000 wa Zanzibar wanatarajiwa kunufaika na mradi wa kukuza kilimo cha mbogamboga, mazao ya viungo na matunda kupitia mradi unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) wenye thamani ya shilingi bilioni 14.

Akizungumza na maofisa wa Halmashauri ya Magharibi B unguja, Meneja utafiti wa mradi huo Ally Mbarouk alisema mradi huo wa miaka mine utanufaisha shehia 50 kutoka Unguja na Pemba.

“Mradi huu utatekelezwa katika wilaya tisa za Zanzibar, tano za kisiwa cha Unguja na nne Pemba,” alisema Mbarouk.

Alisema maeneo yote yamezingatia ushari wa wataalamu wa wizara ya kilimo.

“Mradi umelenga kuwakutanisha pamoja wadau wote wanaohusika na uzalishaji wa mazao mbalimbali, kuongeza ubora wa uzalishaji wa bidhaa za kilimo pamoja na kuongeza lishe na uhakika wa chakula kwa wakazi wa visiwani hapa,” alisema.

Aidha, mradi huo pia utaongeza thamani bidhaa zinazozalishwa na kuongeza masoko nje na ndani ya nchi.

ADVERTISEMENT

Alibainisha kuwa tayari kupitia washirika wao kwenye mradi huo, taasisi ya kimataifa inayojihusisha na uhifadhi wa misitu (CFI) yenye makazi yake nchini Canada wamekusudia kukuza soko la bidhaa za Zanzibar kimataifa kwa lengo la kutoa fursa zaidi.

Afisa wa Masuala Mtambuka kutoka Baraza la Mji Kaskazini B, Nahla Mohamed alisema ujio wa mradi huo utakuwa mkombozi kwa wakulima visiwani humo.

Mazao ya viuongo ambayo yamepewa kipaumbele katika uzalishaji ni tangawizi, iliki, vanilla, pilipilimanga na pilipili hoho.

Tags: Kilimo BiasharaMazao ya viungouwekezaji Zanzibarzanzibar
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post
Mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya Benki ya NMB, Margareth Ikongo akimvalisha kofia mmoja wa wahitimu katika Program ya mafunzo ya uongozi ya Mwaka 2018-20202 ya benki ya NMB

NMB Benki kutengeneza ajira 50 kupitia mafunzo kazini

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In