• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Ujenzi wa SGR kutumia mataruma yanayozalishwa nchini

Kiwanda hicho kina uwezo wa kuzalisha mataruma 1,080 na hadi kufikia sasa kimezalisha mataruma yasiyopungua 27,000.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 27, 2018
in UZALISHAJI
0
Ujenzi SGR washika kasi
Share on FacebookShare on Twitter

Mataruma milioni 1.2 ambayo yatatumika katika ujenzi wa reli ya kisasa maarufu kama SGR kwa kipande cha Dar es Salaam–Makutupora yatazalishwa hapa nchini katika kiwanda kilichopo Soga mkoani Pwani ambapo mataruma hayo hutengenezwa kwa kutumia kokoto, mchanga, maji pamoja na saruji. Akizungumza wakati wa kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa reli hiyo, Meneja Mradi (Dar es salaam–Morogoro) Machibya Masanja, amesema kuwa, kwa siku moja, kiwanda hicho kina uwezo wa kuzalisha mataruma 1,080 na hadi kufikia sasa kimezalisha mataruma yasiyopungua 27,000.

ADVERTISEMENT

“Watu wamekuwa wakisema tunaagiza mataruma kutoka nje, hapana tunayazalisha hapa hapa kwa kutumia malighafi za viwanda vya ndani na kila taruma lina uzito wa kilo 380”. Ameeleza Masanja.

Masanja amefafanua kuwa kwa kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro, wanatarajia kuzalisha mataruma 500,100 huku kipande cha Morogoro–Makutupora wakizalisha mataruma takribani 703,300.

Tags: maendeleoPwaniSGRujenziviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom Plc Tanzania Bi Jacquiline Materu akikabidhi mashine na vifaa vya hospitali ya kambi ya Nyarugusu kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Kasulu, Titus Luguha katika kambi ya Nyarugusu, mkoani Kigoma mwishoni mwa wiki iliyopita. Vifaa hivyo vyenye thamani ya TZS milioni 25 vimetolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kwa hospitali hiyo ili kuongeza juhudi za kuhakikisha watoto wanaozaliwa njiti katika kambi hiyo wanaishi. Wapili kushoto ni Mkurugenzi wa taasisi ya Doris Mollel, Bi Doris Mollel na wa nne kushoto ni Mkuu wa kambi hiyo Bw. Francis Chokola.

Vodacom Foundation yatoa msaada wa vifaa vya kuokoa maisha ya watoto njiti

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In