Rais Ruto awataka Wakenya kujifunza kuweka akiba
Rais wa Kenya William Ruto amewataka Wakenya kuwa na utamaduni wa kuweka akiba hususani kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii. ...
Rais wa Kenya William Ruto amewataka Wakenya kuwa na utamaduni wa kuweka akiba hususani kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii. ...
Muungano wa Afrika (AU) umeipitisha lugha ya Kiswahili, kuwa lugha rasmi ya kikazi ndani ya Umoja huo. Kiswahili pia kimeridhiwa ...
Mfanyabiashara ambae pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa MeTL Group, Mohammed Dewji (Mo Dewji) ametajwa kuwa miongoni mwa mabilionea 18 wa ...
Licha ya kuwepo kwa janga la Covid-19 ambalo limeathiri uchumi wa nchi nyingi duniani, mapato ya sekta ya utalii Tanzania ...
November 26, 2021 Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) inarejesha safari zake kati ya Tanzania na Kenya. Hatua hiyo, pamoja na ...
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itaiwekea thamani madini ya Tanzanite ili yapate bei kubwa sokoni. Katika mwendelezo wa kurekodi ...
Wito umetolewa kwa vijana na wanafunzi wanaomaliza elimu ya sekondari kuchangamkia fursa za udhamini wa masomo wa hadi asilimia 50 ...
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia leo Jumatano Juni 23, 2021 mtu yeyote hatoruhusiwa kuingia eneo la hospitali au ...
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema licha ya mlipuko wa Covid-19 ulioathiri uchumi wa nchi nyingi duniani, Tanzania ...
Tuzo za Chaguo la Mteja 2021 (Tanzania Consumer Choice Awards TCCA) zimezinduliwa. Tuzo hizo zinamsaidia mteja kupigia kura kampuni bora ...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...
Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...
Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...