Serikali: hatujazuia biashara mazao ya misitu
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema haijazuia biashara ya mazao ya misitu. Imewataka wafanyabiashara wa mazao ya misitu ...
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema haijazuia biashara ya mazao ya misitu. Imewataka wafanyabiashara wa mazao ya misitu ...
Wakulima nchini Tanzania wametakiwa kutumia fursa za mitandao katika kujikwamua kiuchumi ikiwamo huduma za masoko ya mazao wanayozalisha. Mamlaka ya ...
Vicheko,nderemo na vifijo vimetawala vinywani mwa wakulima waliopo halmashauri ya songea mkoani Ruvuma baada ya Waziri Mkuu wa Tanzania,Kassim Majaliwa ...
Zaidi ya eka 30,000 za mahindi mkoani Pwani zimeharibiwa na panya ambao wamekuwa wakivamia mashamba na kula mazao hayo. Baadhi ...
Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...
Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...
Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...
Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...